Mzee Gwanda
Member
- Oct 18, 2011
- 26
- 4
Yaani tangu asubuhi niko net napitia JF, naenda TAMISEMI narudi WIZARA YA ELIMU hadi bundle limeisha, chaji imeisha ila ninachosubiria sijakiona. Ukiachana na hayo usiku umekuwa mrefu sana kila dakika naangalia mda kuona kama imefika tar 25. Dah kweli mtaani kugumu sana
Vuten subra walimu hata sis last year ilikuwa hivyo but walbana wakaachia. Ila nawaomba nenden kutumia fursa za vijijn tumien mishaara yenu kama mitaj ya kutokea kila la kher vjana wangu.
Yaani tangu asubuhi niko net napitia JF, naenda TAMISEMI narudi WIZARA YA ELIMU hadi bundle limeisha, chaji imeisha ila ninachosubiria sijakiona. Ukiachana na hayo usiku umekuwa mrefu sana kila dakika naangalia mda kuona kama imefika tar 25. Dah kweli mtaani kugumu sana
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Aiseeeeee umenichekesha mnooo, yan sikufichi kuna mtu hapa npo nae kaja home kuckilizia raha haipo kbxaaa mda wte ypo net umeme ukizingua tu anachajsha na power bank yke ipo full charge. Wasipotoa Leo utaskia kuna mtu tutazika kwa presha.
Yaani tangu asubuhi niko net napitia JF, naenda TAMISEMI narudi WIZARA YA ELIMU hadi bundle limeisha, chaji imeisha ila ninachosubiria sijakiona. Ukiachana na hayo usiku umekuwa mrefu sana kila dakika naangalia mda kuona kama imefika tar 25. Dah kweli mtaani kugumu sana
bora ww ndugu usiku wa kuamkia leo ulikua ni mwaka kwangu nlikua narudia hadi kuangalia movies nlizowah kuangalia mda uende nlilala sa nane kakini
haikusaidia