Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Hee, we xir ni makamu mkuu wa chuo nini? Mbona kama ni maelekezo ya kutoka ktk prospectus ya hicho chuo? Duuuh! Kweli Elimu imeenda juu tz
duuuuh..aiseee hiko nacho ni chuo au computer centre??
Hee, we xir ni makamu mkuu wa chuo nini? Mbona kama ni maelekezo ya kutoka ktk prospectus ya hicho chuo? Duuuh! Kweli Elimu imeenda juu tz
hzo dharau yan umewaona TCU hawana akil mpaka wameksajil?
ada ni zilioni
duuuuh..aiseee hiko nacho ni chuo au computer centre??
Hiko ni chuo au nusery centre?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ona hili gimbi...yani chochote tu akiwazacho anaropoka tu bila ata kudadisi...daaa ndo walimu wetu watarajiwa hawa.. oil sumu
Jamani chuo cha Josia kibira Bukoba centre ni tawi la chuo gani? na mashariti ya pale ki malipo..! mwenye uelewa bac!
Duh! pongezi kwenu wakuu kwa kunielewesha vizuri mpango mzima najipanga...!! Mwambieni oilsumu