Jamani mwenzenu nimesota mtaani hadi basi!!!

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
Jamani mimi mwalimu mwenzenu katika post za walimu za mwanzo jina langu halikutokea, kama mwwenye kujua kuwa post zimetoka kwa awamu ya pili???
 
Hakuna hiyo kitu aisee,kuna wenzio nliwaambiaga kipindi fulani wakanishambulia kwa matusi kibao lakini nafikiri wanayona sasa.
 
mwalimu mwenzangu vp wewe umepngiwa kituo??

Pole mwalimu nlisha acha ualimu tangu 1995 ilaa habari yako ulikosea kupost ulipost jukwaa la siasa badala ya elimu mods wamekuahamisha.
 
zitatoka next week . Hii ni confirmed katibu mkuu kwa hiyo tulia na walisha shortlist mpo 2219 ni kibali kilikuwa kinasumbua
 
zitatoka next week . Hii ni confirmed katibu mkuu kwa hiyo tulia na walisha shortlist mpo 2219 ni kibali kilikuwa kinasumbua
Hawa walimu wangekuwa waelewa mapema sana wangekuwa wamesha anza mambo mengine nilisha washauri hawashauriki, na watu kama nyie mmekuwa mkizidi kuwadanganya wenzenu mnawahadaa kwa maneno confimed,mnawafanya wenzenu wanapoteza mda kusubiri vitu vya kusadikika.
 

hivi unajua wewe ndio mwongo hapa...
 
Jamani mimi mwalimu mwenzenu katika post za walimu za mwanzo jina langu halikutokea, kama mwwenye kujua kuwa post zimetoka kwa awamu ya pili???
2,219 kuajiriwa tena kuziba nafasi ya wale ambao hawaku ripoti-chanzo gazeti HABARI LEO
hata mimi nipo katika hali yakusubiria
 
hivi unajua wewe ndio mwongo hapa...

Mh! Haya na wenzio waliyasema hayahaya kamuulize mwenzio aliye jiifa KICHEDE22 tena yeye ndii alijinadi kuwa kaongea na naibu waziri ,hahahaaaaa mtafute umuuulize basi,acheni kuwapa moyo wenzenu kwa mambo ya kusadikika, nakupinga kwa uhakika kabisa hiyo next wk unaya wadanganya wenzio hakuna kitu kitu kama hicho, na wala msihadaike na hizo habari za 2219 .nawashauri walimu nendeni mkafanye mambo mengine mtazidi kupotezewa mda wenu bure kwa habari za kubuni.huu ni ushauri wangu kama mtaendelea kuniona muongo endeleen kusubiria
 
Naalafu nyii walimu acheni kupenda mteremko .kajiajilin huko
 

Mkuu mbona unapenda kuwakatisha wenzio tamaa umepewa source kuwa gazeti la habari leo kama sikosei la tarehe 5 or 6 mwezi huu ndo waliandika izo habari kuwa serikali itaajiri tena walimu wapya 2,219 na hilo lilikuwa tamko la serikali tena bungeni labda utuambie wewe wapi uliona ukaambiwa awato ajiri tena awamu ya pili, ndugu yangu kama wewe unakazi ni wewe kuna watu bado wanatafuta kazi zaidi ya miaka 5 sasa.
 
Tatizo hamjajua hadi leo hii nchi kwa sasa ipoje na hilo ni tatizo, mkiambiwa hali halisi mnamuona mtu anawakatisha tamaa hivyo mnapenda kuamniwa yale ambayo nafsi zenu zinataka kuayasikia na si vinginevyo.sasa si tatizo endeleeni kusubiri maana mmeamua ,nchi hii siasa kwanza utekelezaji baadae.
 

Kwahiyo yule majaliwa(waziri)alikuwa anawadanganya watanzania pale bunguni?
 

Kwahiyo yule majaliwa(waziri)alikuwa anawadanganya watanzania pale bunguni?

Kwani ni lini mmeambiwa ukweli??endeleen kusubiri walimu isiwe tabu.
 
Mawazo Ya Mungu Si Kama Mawazo Ya Wanadamu, Hakuna Jambo Lisilowezekana Kwake, Yale Ambayo Tunaona Ni Magumu Kwa Mungu Ni Mepesi Sana. Naamini Katika Mungu Tutaajiriwa Kwani Mungu Si Dhalimu Kama Tulivyo Wanadamu!
 
mfumo wetu wa elimu una tatizo. Kijana anaandaliwa kuajiriwa tu na si kujiajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…