Jamani na mie mnikumbuke katika DUA zenu!!

kila la kheri mpenzi. mwenzio nimetoka kwenye shughuli hiyo juzi tu. So i understand how desperate u r!
 
All the best mama, pamoja sana katika salaπŸ˜›ray2:
 
Push..push ...push...pushkin:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:

Unatakiwa maombi tangu unafanya tendo la kutunga hiyo kitu
Siyo pale wakati wa kutoa tu
 
Push..push ...push...pushkin:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:

Unatakiwa maombi tangu unafanya tendo la kutunga hiyo kitu
Siyo pale wakati wa kutoa tu


Kimbweka maombi yalifanywa at the planning stage.....sasa nikuzidisha tu:frown:
 
Bwana awe nawe,
awe pia na mumeo,
Amiiina!
*Nimesikia upo Nai..ni hospitali gani nije nikuletee maua jamani!??

Thanks alot my dear...sipo Nai siku..naishi Kampala...DHL will still do...nikutumie address???:teeth::teeth::redfaces::redfaces::redfaces:
 
My prayers with u........
Hopeful nitaona ID yake hapa jf by 15th dec...πŸ˜›arty:
 
hahahahaha teamo bwana! ALL THE BEST SHISHI MUNGU AWE NAWE!
 
Kila la heri Shishi, nakuombea uweze kuepuka CS lakini kama daktari akisisitiza basi namuomba mola kila kitu kiende shwari.

God Bless You
 
@Shishi, Mungu akujaalie furaha na amani ya moyo wako. Amen
 
Kila la heri Shishi, nakuombea uweze kuepuka CS lakini kama daktari akisisitiza basi namuomba mola kila kitu kiende shwari.

God Bless You


Hey dude!!!

Umeonekana tena lini? Really great to see you and welcome back Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…