Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku moja katika kusaka saka kwangu maiformation kwenye net nilikutana na tangazo la bahati nasibu ya freelotto. walichoniambia ukishiriki utashinda, na kushiriki ni bure. ah! mi nikashiriki then walichoniambia ni kwamba taarifa zitatumwa kwenye email yangu ambayo ndiyo niliyo isubmit kwenye subscription. Sa wamekuwa wananisumbua mmno kwamba nisizembee kwani si utani na wako serious hawajakosea.eti niko eligible to win
CERTIFICATION OF ELIGIBILITY
This is a Formal Notice of Won and Available to be Won Prizes!
I am thrilled to bring you this official notice which confirms The Awards Committee's certification of GODFREY MALIMA as a guaranteed eligible member. This is not a mistake. If you submit the winning entry in accordance with the Official Rules of FreeLotto you are guaranteed a prize award.
Even now, GODFREY MALIMA, you probably thought this could never happen that you, GODFREY MALIMA, of tz could become A BIG CASH WINNER. But it's absolutely true: ALL Cash Prizes won in the FL AWARD SERIES IV are 100% GUARANTEED to be paid to the confirmed winners.[/B][/I]
(G MALIMA MUSOMA tz $100,000
Giveaway Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $10,000
Fast Cash Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $1,000,000 Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $100,000
Pay off your
mortgage Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz Luxury car Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $10,000,000 Eligible to Win)
hivyo nipeleke visa card number na cvv.
sa mi naogopa. nifanyeje nishaurini please.
Siyo siri nimefurahi mmno. kiukweli mmenifanya nijihisi truly niko home.
nahisi huu ndo mwanzo, na labla ni mungu tu ndo kanielekeza. kwani mi ni new member kwenye JF, na kiukweli nimeumiza kichwa vyakutosha kuhusu swala hili. na katika kutafuta tafuta google advantages na disanvantages, nikakutana na ushauri kuhusu CRDB kuwa visa cards zao ni fake. hii ilinifanya nitamani kusoma zaidi. matokeo yake nilijikuta naifurahia jf. hapo awali nilizoea tu kuiona, lakini sikuifuatilia. so i just wanna welcome myself. MALIMA, WELCOME WELCOME.
POST YA JANA ILIKUWA HII HAPA CHINI.
siku moja katika kusaka saka kwangu maiformation kwenye net nilikutana na tangazo la bahati nasibu ya freelotto. walichoniambia ukishiriki utashinda, na kushiriki ni bure. ah! mi nikashiriki then walichoniambia ni kwamba taarifa zitatumwa kwenye email yangu ambayo ndiyo niliyo isubmit kwenye subscription. Sa wamekuwa wananisumbua mmno kwamba nisizembee kwani si utani na wako serious hawajakosea.eti niko eligible to win
CERTIFICATION OF ELIGIBILITY
This is a Formal Notice of Won and Available to be Won Prizes!
I am thrilled to bring you this official notice which confirms The Awards Committee's certification of GODFREY MALIMA as a guaranteed eligible member. This is not a mistake. If you submit the winning entry in accordance with the Official Rules of FreeLotto you are guaranteed a prize award.
Even now, GODFREY MALIMA, you probably thought this could never happen that you, GODFREY MALIMA, of tz could become A BIG CASH WINNER. But it's absolutely true: ALL Cash Prizes won in the FL AWARD SERIES IV are 100% GUARANTEED to be paid to the confirmed winners.[/B][/I]
(G MALIMA MUSOMA tz $100,000
Giveaway Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $10,000
Fast Cash Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $1,000,000 Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $100,000
Pay off your
mortgage Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz Luxury car Eligible to Win
G MALIMA MUSOMA tz $10,000,000 Eligible to Win)
hivyo nipeleke visa card number na cvv.
sa mi naogopa. nifanyeje nishaurini please.
THANKS TO ALL WHO ADVISED ME.
Ohooo wewe kweli upo msoma mbona jina la mjiwenu hamlitafsiri mkajijua ni watugani ok kuna mwenzako aliuza nyumba kwa kuwaskiliza hao matapeli mtandaoni kasafiri hadi naijeria kapokelewa na limozini kawekwa 5star hoteli asubui kaijiwa kupelekwa kuona watu anaodilinao akakuta mzinga wa ofisi na watu mwamepiga 4pis na walinzi alivyo rudi hom akambiwa aende bank kujungulia akakuta dola m3 kuingiza kadi avute hazitoki akawajulisha jama jamani mbona hazitoki
akaambiwa mpaka zilipiwe tax ndo watazi riliz inatakiwa dola 30elf jama wakawaka kauza nnyumba ya milion400 kw m60 akatuma akaambiwa acheki na bank muda gani zitakua rilizd bank wakasema ikiwa kuna riliz toka sentro bank ya nchi silokotoka ni masaa74 jama akarudi na furaha kwake anahesabu masaa ilpofika muda aka pita ITM kuingiza kadi hana hata 1 kuuliza bank akaambiwa huna riliz ilokuja ilikuwa ni telex mane transfar huwa ni pesa hewa mpaka zipate riliz jama kasafiri tena kwenda Legos Naigeria kwenda kwenye ofis alopelekwa mwanzo hakuna hata kibao kilokuwepo nawafanyakazi ni wengine kabisa kuliza watu wake jama wanamwambia hawajui na hakuna ofisi ya ainahiyo, sasa usije uza ngo'mbe wa babuyako yatakufika