jamani nahisi kuchanganyikiwa naomba mnishauri haraka kabla sijaingia mkenge.

erry84
WEWE JARIBU LOTTERY YA UKWELI! Powerball - Home Page hao wengine wizi mtupu!

unauhakika? please hebu nishawishi with evidence.
 

Usijaribu hao ni matapeli wakubwa,yamewapata wengi
 
hao ni matapeli,na kuanzia sasa ujifunze ukiona ujumbe wowote kuwa umeshinda kitu online ni utapeli.
 

Ohooo wewe kweli upo msoma mbona jina la mjiwenu hamlitafsiri mkajijua ni watugani ok kuna mwenzako aliuza nyumba kwa kuwaskiliza hao matapeli mtandaoni kasafiri hadi naijeria kapokelewa na limozini kawekwa 5star hoteli asubui kaijiwa kupelekwa kuona watu anaodilinao akakuta mzinga wa ofisi na watu mwamepiga 4pis na walinzi alivyo rudi hom akambiwa aende bank kujungulia akakuta dola m3 kuingiza kadi avute hazitoki akawajulisha jama jamani mbona hazitoki
akaambiwa mpaka zilipiwe tax ndo watazi riliz inatakiwa dola 30elf jama wakawaka kauza nnyumba ya milion400 kw m60 akatuma akaambiwa acheki na bank muda gani zitakua rilizd bank wakasema ikiwa kuna riliz toka sentro bank ya nchi silokotoka ni masaa74 jama akarudi na furaha kwake anahesabu masaa ilpofika muda aka pita ITM kuingiza kadi hana hata 1 kuuliza bank akaambiwa huna riliz ilokuja ilikuwa ni telex mane transfar huwa ni pesa hewa mpaka zipate riliz jama kasafiri tena kwenda Legos Naigeria kwenda kwenye ofis alopelekwa mwanzo hakuna hata kibao kilokuwepo nawafanyakazi ni wengine kabisa kuliza watu wake jama wanamwambia hawajui na hakuna ofisi ya ainahiyo, sasa usije uza ngo'mbe wa babuyako yatakufika
 



ha ha ha ha ha! we wa ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…