Jamani nahitaji msaada tafadhali

bummy

Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
40
Reaction score
8
Naomba mnisaidie ndugu zangu. Tatizo langu ni kuwa kila ninapokuwa nina hamu ya sex badala ya ute vinatoka vitu kama ute uliochanganyika na damu yaan kama period inataka kuanza... Napata shida sana kwan nashindwa kujua nn tatizo

Nahitaji msaada wenu tafadhali
 

Tafuta Miti au Mihogo Kisha Mzibe Huko Kunakovuja ( Bleed ) na Tatizo Litakuwa Kwishnei............
 
Unatumia aina yoyote ya kinga?Hali hio inaweza kusababishwa na hormone fluctuations..au inaweza kuwa ni ishara ya infections kwenye uke/cervic au dalili ya polyps kwenye kizazi ama cancer.Nakushauri uende kwa daktari ukachekiwe
 
Unatumia aina yoyote ya kinga?Hali hio inaweza kusababishwa na hormone fluctuations..au inaweza kuwa ni ishara ya infections kwenye uke/cervic au dalili ya polyps kwenye kizazi ama cancer.Nakushauri uende kwa daktari ukachekiwe

Niliwah kutumia sindano lkn ni zaidi ya mwaka sasa umepita... Nashukuru sana kwa ushauri wako ndugu
 
Tafuta Miti au Mihogo Kisha Mzibe Huko Kunakovuja ( Bleed ) na Tatizo Litakuwa Kwishnei............

Hiv utajickiaje unampeleka hospital mgonjwa wako wa kike yuko serious halafu unamsikia doctor anaongea maneno kama yako...
Nimejickia vibaya sana cos siko kwenye utan. Lkn nashukuru pia kwa ushaur wako pia
 

Pole sana dada kama hutumii njia ya uzazi wa mpango basi hiyo ni dalili kuu ya kansa ya shingo ya kizazi nenda kwa dokta haraka sana.
 
Pole sana,hormones infections plus njia ya uzazi..(cervical effect),kwa namna na gharama yeyote wahi kwa specialist wa magonjwa ya kike,uwahi tatizo kabla halijala kizazi chote.!
 
Hiv utajickiaje unampeleka hospital mgonjwa wako wa kike yuko serious halafu unamsikia doctor anaongea maneno kama yako...
Nimejickia vibaya sana cos siko kwenye utan. Lkn nashukuru pia kwa ushaur wako pia

Bummy Hujanizoea tu????? Anyway Naomba Radhi Sana Kama Nimekukwaza but I was Just Kidding Ngoja Sasa Nikutafutie Dawa Kabambe Ya Kumpatia Mgonjwa Wako.............Narudi...............!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama huwezi kumsaidia bummy ni vyema ukawapisha wengine wakamsaidia, watu mnaropoka tu hata bila kuwa na uhakika na mnachozungumza

Hebu chukulia tatizo hili lingekuwa la kwako alafu unapata mrejesho wa namna hii.

Tubadilike siyo kila jambo ni masihara.

Pole dada yangu bummy, tafadhali wahi hospital mapema ili upate msaada!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dada kama hutumii njia ya uzazi wa mpango basi hiyo ni dalili kuu ya kansa ya shingo ya kizazi nenda kwa dokta haraka sana.

Asante sana kwa ushaur mzuri ila naomba unisaidiw kama kuna daktar yoyote mzur unamfaham
 

asante sana yan naanza kuogopa sasa
 
Last edited by a moderator:
Bummy Hujanizoea tu????? Anyway Naomba Radhi Sana Kama Nimekukwaza but I was Just Kidding Ngoja Sasa Nikutafutie Dawa Kabambe Ya Kumpatia Mgonjwa Wako.............Narudi...............!!!!!!!!!!!!!!!!!

ukwel hata uwe na utan vp huwezi kufika msiban watu wanalia ukaanza kucheka lazima ubadilike na mazingira! any way nashukuru kwa kunielewa lkn nasubir hiyo dawa
 
Pole sana,hormones infections plus njia ya uzazi..(cervical effect),kwa namna na gharama yeyote wahi kwa specialist wa magonjwa ya kike,uwahi tatizo kabla halijala kizazi chote.!

asante ntafanyia kaz!!!
 
Asante sana kwa ushaur mzuri ila naomba unisaidiw kama kuna daktar yoyote mzur unamfaham

Unaishi mkoa gani? Kama unaishi Dar nenda amana,mnazi,temeke au mwananyamala kisha watakupa rufaa uende Mhimbili,Mhimbili yawezekana ukalazwa na vipimo vitachukua wiki 3 kama utakuwa mtoa rushwa mzuri la sivyo hata miezi 6.kuna vipimo majibu yanatoka baada ya wiki 3.baada ya hapo utaperekwa Ocean road hosp.ila kama una mtu ocean road naomba kamuone haraka sana.Matibabu yako ni ghali sana dada,nakuomba uache shughuli zako zote uokoe uhai wako.niko honey moon Lushoto ningekuwa dar na wewe uko dar ningekusaidia hasa Mhimbili.
 

Nashukuru sana kwa msaada!!!
Niko dar.
 
Nashukuru sana kwa msaada!!!
Niko dar.

Cha mhimu nenda kwenye hizo hosptal za mkoa na utumie mbinu kubwa ili wakupe rufaa haraka.Pole sana,nakuombea Mungu, washirikishe ndugu zako matibu ni na vipimo ni ghali.
 
Cha mhimu nenda kwenye hizo hosptal za mkoa na utumie mbinu kubwa ili wakupe rufaa haraka.Pole sana,nakuombea Mungu, washirikishe ndugu zako matibu ni na vipimo ni ghali.

mkuu kama kweli una acces ya Muhimbili ungeweza kumsaidia dada bummy kuliko kuendelea kumtisha pasipo kupata msaada wowote!

Sidhani kama Muhimbili unafanya kazi peke yako kama kweli unafanya kazi huko! Unaweza kumuelekeza akapatiwa huduma.

Mpaka sasa hatujui tatizo rasmi linalomsumbu dada bummy kwani dalili alizozisema zinashabihiana na matatizo mengine mbali na uzazi na vipimo bado hajafanya.

Nashauri tupunguze kumtisha na badala yake tumpe msaada kwa walionao.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…