Jamani nahitaji msaada tafadhali

Jamani nahitaji msaada tafadhali

Polesana kwa tatzo hilo.ntafuta ntakusaidia kuna dawa ya kusafisha na kukausha matatzo ktk mfumo mzima wa uzazi kama unaitaji ntafute utapona.0759217720
 
mkuu kama kweli una acces ya Muhimbili ungeweza kumsaidia dada bummy kuliko kuendelea kumtisha pasipo kupata msaada wowote!

Sidhani kama Muhimbili unafanya kazi peke yako kama kweli unafanya kazi huko! Unaweza kumuelekeza akapatiwa huduma.

Mpaka sasa hatujui tatizo rasmi linalomsumbu dada bummy kwani dalili alizozisema zinashabihiana na matatizo mengine mbali na uzazi na vipimo bado hajafanya.

Nashauri tupunguze kumtisha na badala yake tumpe msaada kwa walionao.

Mkuu sijamtisha huyo dada bali nimemwambia ukweli halisi.Mwaka jana mwezi wa 10 bibi mzaa baba alikuwa na matatizo kama hayo vipimo viligharimu pesa nyingi na bibi alikuwa na dalili hivyo hivyo kwahiyo kuna madaktari niliunganisha nao urafiki kipindi hicho,ningekuwa niko dar kwakweli ningempeleka ila kwanza lazima apate rufaa.niko honey moon maeneo ya lushoto mkuu.
 
Last edited by a moderator:
brother ,tatizo lako ni ile timu yako ndo inakuchanganya hivyo.

Ebwana Hujakosea Mkuu Simba Inanichanganya Sana na Neno Lile La MBUMBUMBU. Kiukweli Sipo Vyema Kutokana Na Hali Ya Timu Yangu. Jamani Naipenda Simba Kushinda Hata Mademu Zangu na Hata Sasa SIGEGEDI Kwani MJUGUJU Wangu Kila Nikumbukapo tu Matokeo Ya Simba MJUGUJU Hausimami. Simba S.C. Mnanitesa Jamani....................!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom