1) ninawahi sana kufika kilele ninapokuwa katika tendo la ndoa, naomba ushauri wenu nifanyaje ili niweze dumu hata japo kwa nusu saa. 2)
Acha punyeto
1.usile ugali wa unga wa sembe. kula dona
2.usipendelee kula chipsi
3.kunywa maji mengi. lau lita 3 kwa siku
4. nenda kwa daktari ucheki afya esp presha, sukari,figo na matatizo ya tumbo