Jamani nahitaji msaada wenu tafadhari (tendo la ndoa)

Jamani nahitaji msaada wenu tafadhari (tendo la ndoa)

Nunua vifaa vya mazoezi,kimbia asubuhi na jioni.na fanya mazoezi ya viungo...baada ya mwezi utaleta majibu na ni lazima umpiku Messi katika kupachika mabao..
 
habari wana JF,
nina matatizo mawili 1) ninawahi sana kufika kilele ninapokuwa katika tendo la ndoa, naomba ushauri wenu nifanyaje ili niweze dumu hata japo kwa nusu saa. 2) ninachelewa kupata nguvu za kurudia game baada ya bao la kwanza, naomba ushauri wenu pia katika hili.
Asanteni wana JF

tatizo lako linatokana na upungufu wa homoni za kiume- ushaur wowote utakaopewa hauwez kukusaidia bila ya kupata tiba kwanza then ndo ufanye hayo mengine yote

kuna Dr. kapona retired wa Muhimbili kafungua kituo chake maeneo ya Chanika, ukifika utafanyiwa vipimo na kisha tiba
 
acha puli

fanya cn mazoez

usipende kula chips mayai na sembe

jitahd ukiw ktk game uwaze kitu kingine usivute hisia unapogonga mzigo

km unaweza mwambie mpnz wako awe anakupanua makalio hewa ikipenya ndan huwez kupiz

ukiona unakaribia kupiz toa nje mtalimbo

usiwe na papara nakuvuta cna hisia unapogonga papuchi
 
km unaweza mwambie mpnz wako awe ANAKUPANUA MAKALIO hewa ikipenya ndan huwez kupiz

Aisee mi nachekaga sanaaaaaaaaaaaa.. Hahahaaaaaaaa
 
habari wana JF,
nina matatizo mawili 1) ninawahi sana kufika kilele ninapokuwa katika tendo la ndoa, naomba ushauri wenu nifanyaje ili niweze dumu hata japo kwa nusu saa. 2) ninachelewa kupata nguvu za kurudia game baada ya bao la kwanza, naomba ushauri wenu pia katika hili.
Asanteni wana JF

nenda Jf Doctor maswali yako yamejibiwa vizuri
 
[h=2]Faida za Kitunguu Swaumu Mwilini Hizi Hapa (Upungufu wa Nguvu za Kiume)[/h]
Kuna vitu vidogodogo lakini sisi huwa hatujui faida zake mwilini, Kwa mfano kitunguu swaumu ambacho akina mama zetu nyumbani wamezoa kuweka katika pilau lakin kina faida kubwa sana mwilini. Wengi wamekuwa hawapendii hii harufu ya swaumu kutokana na kwamba ukila lazima mdomo wako unuke swaumu au pilau fulani iv sasa Ili kuepukana na harufu ya kitunguu swaumu baada ya kukila unashauriwa kunywa maji mengi uneutralize hii harufu

Kitunguu swaumu kimekusanya protin 49%,sulphur 25%, chumvi,inasaidia kuongeza nguvu za kiume,kuua sumu,vikojozavyo,wenye matatizo ya hedhi, kuyeyusha mafuta na viini vyenye kuua minyoo.Kila utafiti unapoendelea ndipo faida na maajabu ya kitunguu swaumu yanapoongezeka.

Haya ni maradhi yanayotibika kwa Kitunguu Swaumu



1.Kuua sumu

2.Kisafisha tumbo

3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)

4.Huzuia kuvuja kwa damu

5.Kusafisha njia ya mkojo

6.Kutibu amoeba

7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)

8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)

9.Gesi

10.Msokoto wa tumbo

11.Typhoid

12.Kidonda kilichooza

13.Dondakoo

14.Mabaka

15.Baridi yabisi(Rheumatisim)

16.Mishipa

17.Uziwi

18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)

19.Mafua

20.Saratani(Cancer)

21.Kifaduro

22.Kifua kikuu cha mapafu

23.Kipindupindu

24.Kutoa minyoo

25.Upele

26.Kuvunjavunja mawe katika figo

27.Mba kichwani

28.Kuupa nguvu ubongo

29.Kuupa nguvu fizi

30.Kuzuia meno kung'ooka

31.Nguvu za kiume

32.Maumivu ya kichwa

33.Kizunguzungu/kisunzi

34.Kutuliza maumivu ya meno

35.Kujenga misuli na kutia nguvu

36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)

37.Shinikizo la damu

38.Kinga ya tauni na ukimwi

39.Magonjwa ya macho


Kitunguu swaumu inaweza kuchanganywa kwenye vitu kama maziwa, asali, habatsouda, juisi,

NB; Dawa za asili hufanya kazi taratibu hivyo huwezi kuona effect kesho asubuhi ukianza kutumia kuwa mpole matokeo utayaona Tu..

Wakubwa mnaweza kuongezea kwa nilicho kisahau hapa

Weka na dozi
 
1.fanya mazoezi
2. tumia kitunguu swaum na asali mara kwa mara ila usizidishe sana. punje 5 kwa siku. au kila chakula chako kiwe na kitunguu swaum.
3.asali na mdalasini...
4.kunywa yai bichi za kienyeji saba zilizochanganywa na habatsoda ya unga mara kwa mara kwa muda wa mwezi mmoja

hivi unampaje mtu ushauri kwa uhakika kabisa wakati hujui tatizo lake? Mtu mwenyewe kasema anataka walau afike nusu saa. Kwani SI unit ni dakika ngapi? Hajasema anachukua muda gani kwenda ngwe nyingine. Si ajabu anataka baada ya dakika 10. Na unavyomwambia abugie mdalasini ushampima figo? Unavyomwambia abugie mayai yote hayo unajua ana uzito gani? afya yake ya moyo unaijua?

We mwenye tatizo kaongee na daktari. Ukishatoka kwa daktari mmoja, nenda kwa mwingine ili ulinganishe. Utakuja kula vitunguu thwaumu wanawake wakukimbie kisa shombo.
 
1.fanya mazoezi
2. tumia kitunguu swaum na asali mara kwa mara ila usizidishe sana. punje 5 kwa siku. au kila chakula chako kiwe na kitunguu swaum.
3.asali na mdalasini...
4.kunywa yai bichi za kienyeji saba zilizochanganywa na habatsoda ya unga mara kwa mara kwa muda wa mwezi mmoja
asante sana ndugu yangu @ hugochavez
 
acha puli

fanya cn mazoez

usipende kula chips mayai na sembe

jitahd ukiw ktk game uwaze kitu kingine usivute hisia unapogonga mzigo

km unaweza mwambie mpnz wako awe anakupanua makalio hewa ikipenya ndan huwez kupiz

ukiona uqnakaribia kupiz toa nje mtalimbo

usiwe na papara nakuvuta cna hisia unapogonga papuchi
asante kwa ushauri @ tonii herrera
 
Back
Top Bottom