Kabla sijasema chochote nahitaji kufahamu machache kwanza.Kijana usijitafutie matatizo kaa mbali Tena mbali mno na shemeji yako [emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo mtoto ni wa kwangu na tupo mbioni kukamilisha utaratibu wa ndoa[emoji41]Kabla sijasema chochote nahitaji kufahamu machache kwanza.
Bado nipo dilemma. Isije kuwa naingia machinjoniHuyo mtoto ni wa kwangu na tupo mbioni kukamilisha utaratibu wa ndoa[emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Issue je ni ke kweli? Nilitahadharishwa humu niwe makini mno. Kuna madume yenye id za kike pamoja na wale tataChangia sana nyuzi za magari na bata utampata uyo mtoto
Mkuu mbona unanitisha kiasi hicho? Tuna ugomvi?Angalia utazagamuliwa
Issue ni je kweli ni ke? Hofu yangu ni hiyoSi umfuate umwambie, Yanini kufa na kamba shingoni
Kuwa makini huku sikoMkuu mbona unanitisha kiasi hicho? Tuna ugomvi?
Ujinga wangu mimi upo wapi hapo?Wajinga kama wewe hawawezi kuisha dunia hii.