Jamani naipenda hii ID, sijajua sasa ni ke kweli au me

Kama kaweka picha ya mkewe utafanyaje?Uwe na kiasi!
 
Umependa avatar au unapenda mtu.. mwenye akaunt figa yake sio hiyo
 
kuna mabinti niliwatumia pesa kuwapoza ,walikua ni wana yanga sasa kuna mmoja akatamani kuonana na mimi nilimkatalia lakini alikua mbishi sana ikumbukwe niliwatumia kupitia wakala lakini huyo mmoja aliniomba sana namba sana namba zangu pm nikaona nimpe tuh japo nilimtadharisha nimeoa ujinga sitaki tabia za kichangudoa sizivumili akanambia hayupo hivyo.basi bana akanambia yupo hapa jijini na anataka kutana na mimi kweli tukapanga eneo tukutane alipofika simu yangu nilimpa jamaa yangu tukawa tunammendea tunase sura yake aisee kumbe ni ajuza bana kiukweli wengi wanaojinadi humu ni mbinti umri umesha watupa mkono kiukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…