- Thread starter
- #21
Hakuna kitu kama hicho. Na kalio lile awe me kweli? No! Big No.Bahati mbaya, mleta mada hajajua kama mwana ni Me....[emoji12] yaani hana baya kabisa mwanetu...[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho. Na kalio lile awe me kweli? No! Big No.Bahati mbaya, mleta mada hajajua kama mwana ni Me....[emoji12] yaani hana baya kabisa mwanetu...[emoji4]
Kwanza ni kushindwa kuielewa JF ni platform ya aina gani?Ujinga wangu mimi upo wapi hapo?
Akili zako mzee, Kama treni ya mbao😂😁Bahati mbaya, mleta mada hajajua kama mwana ni Me....😜 yaani hana baya kabisa mwanetu...😊
Saitakuaje na mindo babako...😜Akili zako mzee, Kama treni ya mbao😂😁
Ngoja tukabe kazi kiwanda Cha bia😂😆Saitakuaje na mindo babako...😜
Pambana mwanangu, maana kiwanda kisipo zalisha babako nitakufa kwa kiu...🍺🍻Ngoja tukabe kazi kiwanda Cha bia😂😆
Mbona unambania mwamba ushimen?Bahati mbaya, mleta mada hajajua kama mwana ni Me....[emoji12] yaani hana baya kabisa mwanetu...[emoji4]
Wewe nawe si umfuate pm?Hakuna kitu kama hicho. Na kalio lile awe me kweli? No! Big No.
Kama kaweka picha ya mkewe utafanyaje?Uwe na kiasi!Niende kwa ufupi, kuna hii avatar yenye shape la kwenda na mgongo mzuri.
Nimempenda huyu mwenye id
Nimeona nianze hapa ili wenye abc wanisaidie kabla sijaenda inbox,
Hii avatar inaitwa witnessj
Nimeamua kuja kwanza kwenu wazee. Kijana nimeamua kuonesha heshima kwanza kabla ya kuchukua maamuzi rasmi.
Jamani nisaidieni natoboaje hapa? Kama kuna walakini mnijulishe tafadhali,nina maana yangu kuanza kuja hapa. Ahsanteni sana
Palishatoboka kitambo sema unapitaje.Jamani nisaidieni natoboaje hapa?
Anapita au anapitiwa? Huyu wity huyu mmh...[emoji38]Palishatoboka kitambo sema unapitaje.
Umependa avatar au unapenda mtu.. mwenye akaunt figa yake sio hiyoNiende kwa ufupi, kuna hii avatar yenye shape la kwenda na mgongo mzuri.
Nimempenda huyu mwenye id
Nimeona nianze hapa ili wenye abc wanisaidie kabla sijaenda inbox,
Hii avatar inaitwa witnessj
Nimeamua kuja kwanza kwenu wazee. Kijana nimeamua kuonesha heshima kwanza kabla ya kuchukua maamuzi rasmi.
Jamani nisaidieni natoboaje hapa? Kama kuna walakini mnijulishe tafadhali,nina maana yangu kuanza kuja hapa. Ahsanteni sana
Nimebana wapi mkuu...😜Mbona unambania mwamba ushimen?
Hilo ni jike wewe unasema dumeNimebana wapi mkuu...[emoji12]
Apia...😳Hilo ni jike wewe unasema dume
Basi mtoa sredi ameyakanyaga 🤣Pisi ya Ushimen anagombaniana na King Kong III