Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

Natumae mleta mada umepata muongozo...
 
Mrejesho ni mzuri mkuu kwa kuwa wengine tunataka kujiunga katika ufugaji wa samaki.
Tunaomba mrejesho je umefanikiwa kuwapata vifaranga vya samaki?
Tunasubiri jibu mkuu!!
 
Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki.

Nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga.

Mrejesho upo vipi? Ulipata msaada na unataka kufugia wapi (location) ulipo
 
Kama uko mbeya mjini.. Nenda Iyunga kalobe, kuna jamaa anafuga sana samaki na ana hivo vifaranga vya kutosha
Atakushauri vizuri.kwenye Google map ukiangalia hiyo kalobe utaona location inaonekana


Mkuu Location husika ndo hiyo siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…