Jamani naomba niwe mmoja wenu!

asanteni

New Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
2
Reaction score
3
Habari wapendwa wote. Ni furaha kubwa niliyonayo kuweza kujiunga na jf ili kusogeza gurudumu la maendeleo mbele.Kwaheshma na taadhima jamani naomba niwe mmoja wenu! Asanteni.
 
Wakaribishwa sana kijiweni kwetu tujadili na kuhabarishana!
 
Karibu saaana JF. Ahsanteni.
 
karibu sana, lakin kuwa makini humu kuna wa2 wa aina nyingi take care!
 
karibu, ila usijisahau wewe ni mgeni ukashikilia remote na kuanza kubadili channel za tv. By the way unakaribishwa ktk jina la Yesu Kristo kwa ajili ya Mungu wetu, kwa maendeleo ya JF na ustawi wa Taifa letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…