Habari wapendwa wote. Ni furaha kubwa niliyonayo kuweza kujiunga na jf ili kusogeza gurudumu la maendeleo mbele.Kwaheshma na taadhima jamani naomba niwe mmoja wenu! Asanteni.
karibu, ila usijisahau wewe ni mgeni ukashikilia remote na kuanza kubadili channel za tv. By the way unakaribishwa ktk jina la Yesu Kristo kwa ajili ya Mungu wetu, kwa maendeleo ya JF na ustawi wa Taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.