CONSTANTKD
Member
- Jan 24, 2018
- 24
- 8
Kama mada tajwa hapo juuu isemavyo[emoji jamani naombeni msaada, nimeingiwa na maji sikioni jana kipindi naoga hayajatoka mpaka leo, limeziba sisikii zaidi ya ngoma2 na mchato bc nifanyeje ili yatoke mwenye dawa au ushauri anisaidie plz