Rama mandara Tz
Member
- Mar 1, 2017
- 43
- 21
ivii kuna tofauti kati ya kiongozi na muongozaji???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nahisi kiongozi hafanyi kazi ye ni kuelekeza tu lakini muongozaji ni yule anayekuwa mstari wa mbele na wengine humfuata yeyeHebu anza kwa kuelezea unavyofahamu wewe ili tujazie nyama kwenye maelezo yako
Kiongozi ni mtu anayewaongoza watu ktk sehem au ktk mazingira flan ma huchaguliwa na watu.ivii kuna tofauti kati ya kiongozi na muongozaji???