Jamani naombeni msaada wana jf

 
another HEARTBREAKER!...
 
 
Mmmmmh yawezekana, lakini si unaona huyu kashaona
Kasoro kwake
au hana uhakika kama ni sahihi kuwa nae
Kwa sababu kabila lake lina hasira. Dalili.....

Kweli LD, hapa kuna mengi zaidi ya kutaka tu kujua kabila! Kama ni kabila basi angeuliza kabla ya kumpata dada wa watu. Hapa kuna chembe chembe nyingi sana na za wazi za unyanyapaa!

Nachukia sana ukibila kuliko kitu kingine katika maisha yangu!
 
Dr Phone kama kuna dadake huyo mhehe wako yuko single niunganishe! Shule tumeshapewa-kamba mbali. Hata mimi nilishaambiwa na Wazee wa siku nyingi sifa zao hao ndungu zetu-Wanyalu kama ambavyo wachangiaji wanavyokushauri, mapungufu yao ndio hayo (Kamba!!! Sasa wekeza kwenye hilo la kutokumfikisha kwenye maamuzi hayo ya kujitundika)
 
Kweli LD, hapa kuna mengi zaidi ya kutaka tu kujua kabila! Kama ni kabila basi angeuliza kabla ya kumpata dada wa watu. Hapa kuna chembe chembe nyingi sana na za wazi za unyanyapaa!

Nachukia sana ukibila kuliko kitu kingine katika maisha yangu!
Umemaliza kuandika ripot yako mkuu?
umebaind vitabu tayari?
umeandaa slide zenye ujazo kwa ajili ya presentation mkuu?
kama bado nakushauri ulale kidogo then uamke uendelee na kazi
kama tayari panda basi njoo dar tule weekend (uje na watoto wote mkuu)
 
 

Bado kamanda ila si unajue tena,...kazi na dawa.

Ngoja nisepe. Titaonana baadaye!
 
 
nawasalimia jamani,babu dc,teamo,finest,ld,nimezingatia itifaki!mi napita tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…