JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU

JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU

weka tu namba yako hapa waungwana watakusaidia hiyo vocha

Hapana nipo serious siwezi kuanika number yangu hadharani bila sababu ya msingi mm sifanyi biashara

Aliye guswa atanisaidia PM
 
Hapana nipo serious siwezi kuanika number yangu hadharani bila sababu ya msingi mm sifanyi biashara

Aliye guswa atanisaidia PM
Huna mtu ambaye unaweza hata ukambeep ukamwomba vocha? Kama umekuja hapa maana yake umekamatwa kwelikweli na ndio inafanya iwe sababu ya msingi ya kuweka namba yako tukutumie
 
Huna mtu ambaye unaweza hata ukambeep ukamwomba vocha? Kama umekuja hapa maana yake umekamatwa kwelikweli na ndio inafanya iwe sababu ya msingi ya kuweka namba yako tukutumie

Mkuu sio wote wanania njema wengine wana mambo yao mbona PM sio mbali mkuu
 
U
Heri ya Christmas na mwaka mpya
🎉🎄🎄🎄🎆🎆🎆

Jamani ndugu zangu Nina shida vibaya mno shida yangu sio kubwa sana
Nitashukuru kwayeyote atakaye nielewa

Nina shida ya vocha ya 2000 tuu!! Hata ukinitumia jero nitashukuru

NB:sipo mjini kuna mahali nipo jamanii nimekosa hata ya vocha natakaniwasilia na mama anagu jamaaa
Njoo PM
Natanguliza shukrani
Unatumia mtandao gani?
 
Back
Top Bottom