mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Wakuu nimeagiza zana fulani hivi za kijasiriamali toka nje ya nchi. Mzigo umeishaingia bandarini siku nyingi (hii wiki ya 2 sasa) ila sijafanikiwa kuutoa kwasababu ya vikwazo ninavyokumbana navyo toka kwa wakala wa meli wa Dar.
Supplier (jamaa walioniuzia mzigo) walinitumia copy ya Bill of Lading nikampa clearing agent wangu aendelee na mchakato wa kutoa mzigo. Supplier alisema ameishatoa release hiyo niendelee na procedure za clearance meli ikiwasili nitapewa mzigo wangu. Pia nilienda kwa wakala wa meli kupata confirmation meli inawasili lini. Nilimuonyesha zile shipping docs na yeye nikamwachia copy, then akasema haina shida nimpe muda afanye mawasiliano kujua meli inawasili lini. Hapo akanipigisha tarehe wee hatimae meli ikawasili.
Sasa clearing agent amefikia hatua anataka release ya mzigo toka kwa wakala wa meli. Hapa ndo kizungumkuti kilipoanzia hadi sasa wiki 2 zinakatika wakala hataki kutoa release. Anadai sawa docs zangu zinaonyesha nimelipia freight lakini za kwao hazionyeshi hivyo, so hawawezi kutoa release. Kinachoniudhi ni kwamba huyu wakala amekaa nacopy za docs zangu mwezi mzima, na zimeandikwa nimelipia kila kitu, iweje leo hii ndo anaibuka na kikwazo hiki? Matokeo yake sasa mzigo wangu umeishaanza kuhesabiwa storage charges!
Mbaya zaidi ananiambia niwasiliane na shipper wa mzigo wangu nimwambie awatumie email kwamba nimelipia kila kitu watoe release ya mzigo. Ninachojiuliza wao ndo mawakala wa hiyo meli kwanini hataki kuwasiliana nao moja kwa moja?? at the same time nikiwapigia shippers wanadaie wao walishatoa release, hapo ndo nachoka!
Wakuu naombeni ushauri khs cha kufanya ili nipate mizigo yangu manake storage charges zinazidi ku-accumulate!!
Supplier (jamaa walioniuzia mzigo) walinitumia copy ya Bill of Lading nikampa clearing agent wangu aendelee na mchakato wa kutoa mzigo. Supplier alisema ameishatoa release hiyo niendelee na procedure za clearance meli ikiwasili nitapewa mzigo wangu. Pia nilienda kwa wakala wa meli kupata confirmation meli inawasili lini. Nilimuonyesha zile shipping docs na yeye nikamwachia copy, then akasema haina shida nimpe muda afanye mawasiliano kujua meli inawasili lini. Hapo akanipigisha tarehe wee hatimae meli ikawasili.
Sasa clearing agent amefikia hatua anataka release ya mzigo toka kwa wakala wa meli. Hapa ndo kizungumkuti kilipoanzia hadi sasa wiki 2 zinakatika wakala hataki kutoa release. Anadai sawa docs zangu zinaonyesha nimelipia freight lakini za kwao hazionyeshi hivyo, so hawawezi kutoa release. Kinachoniudhi ni kwamba huyu wakala amekaa nacopy za docs zangu mwezi mzima, na zimeandikwa nimelipia kila kitu, iweje leo hii ndo anaibuka na kikwazo hiki? Matokeo yake sasa mzigo wangu umeishaanza kuhesabiwa storage charges!
Mbaya zaidi ananiambia niwasiliane na shipper wa mzigo wangu nimwambie awatumie email kwamba nimelipia kila kitu watoe release ya mzigo. Ninachojiuliza wao ndo mawakala wa hiyo meli kwanini hataki kuwasiliana nao moja kwa moja?? at the same time nikiwapigia shippers wanadaie wao walishatoa release, hapo ndo nachoka!
Wakuu naombeni ushauri khs cha kufanya ili nipate mizigo yangu manake storage charges zinazidi ku-accumulate!!