Jamani natafuta apple acid vinegAr

Jamani natafuta apple acid vinegAr

Kimosy

Senior Member
Joined
Aug 24, 2021
Posts
112
Reaction score
76
Jamani natafuta apple acid vinegAr inakouzwa hapa dar es salaam
 
Apple Cider Vinegar.... Bei inaweza ikawa kubwa for nothing...

Tengeneza ya kwako ni Just Fermentation ya Apples tena utapata with mother..... (yaani wale bacteria ambao watakeep on fermenting the apples)
 
Sijui unaitafuta kwa matumizi gani ila naomba nitoe angalizo, mimi sio mtaalamu wa afya ila kuna mama mmoja alipewa ushauri awe anakunywa glass moja kwa siku ili apunguze unene, baada ya siku nne aliumwa sana baadae kidogo aligundulika ana kansa ya utumbo na hapa naandika ni alishafariki.
 
Sijui unaitafuta kwa matumizi gani ila naomba nitoe angalizo, mimi sio mtaalamu wa afya ila kuna mama mmoja alipewa ushauri awe anakunywa glass moja kwa siku ili apunguze unene, baada ya siku nne aliumwa sana baadae kidogo aligundulika ana kansa ya utumbo na hapa naandika ni alishafariki.
Nkoo ctafutia kwa kazi io
 
Apple Cider Vinegar.... Bei inaweza ikawa kubwa for nothing...

Tengeneza ya kwako ni Just Fermentation ya Apples tena utapata with mother..... (yaani wale bacteria ambao watakeep on fermenting the apples)
Daah ngumuu sanaa
 
a0ca7fcc-1cba-4585-baa6-c2fb284a89d3.jpg

3316b2db-e9f6-4f9f-aceb-016f9f403b85.jpg

ff59fcfc-3284-4864-8050-bf06e733ac0b.jpg

Kuna  cider ya tiba na
 cider ya kusafishia kachumbari na matunda Angalizo
 cider ya tiba n kali sana tena sana hivyo haifai kunywa nyingi huyo aliekeleza kunywa glass moja ni muuwaji yafaa kutumia kwa kipimo cha kijiko
 
0743887663 whatsup
Kama unauza apple cider vinegar
 
Sijui unaitafuta kwa matumizi gani ila naomba nitoe angalizo, mimi sio mtaalamu wa afya ila kuna mama mmoja alipewa ushauri awe anakunywa glass moja kwa siku ili apunguze unene, baada ya siku nne aliumwa sana baadae kidogo aligundulika ana kansa ya utumbo na hapa naandika ni alishafariki.
Aliyesmhauri alikuwa muuaji kabisa! Glass nzima ya vinegar!!! Na hapo ndo umuhimu wa kusikiliza wataalam unapokuja. Hawa makanjanja mtaani ni tatizo sana.
 
Back
Top Bottom