Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyingi tu super market!!!Jamani natafuta apple acid vinegAr inakouzwa hapa dar es salaam
Nkoo ctafutia kwa kazi ioSijui unaitafuta kwa matumizi gani ila naomba nitoe angalizo, mimi sio mtaalamu wa afya ila kuna mama mmoja alipewa ushauri awe anakunywa glass moja kwa siku ili apunguze unene, baada ya siku nne aliumwa sana baadae kidogo aligundulika ana kansa ya utumbo na hapa naandika ni alishafariki.
Makumbusho stendi,Just mention one
Ni shingapi iyoo mwanaaView attachment 2491275
View attachment 2491276
View attachment 2491277
Kuna cider ya tiba na
cider ya kusafishia kachumbari na matunda Angalizo
cider ya tiba n kali sana tena sana hivyo haifai kunywa nyingi huyo aliekeleza kunywa glass moja ni muuwaji yafaa kutumia kwa kipimo cha kijiko
Unapatikana wapi mwanaView attachment 2491275
View attachment 2491276
View attachment 2491277
Kuna cider ya tiba na
cider ya kusafishia kachumbari na matunda Angalizo
cider ya tiba n kali sana tena sana hivyo haifai kunywa nyingi huyo aliekeleza kunywa glass moja ni muuwaji yafaa kutumia kwa kipimo cha kijiko
una shingapi mkuu usaidiweBadoo
Aliyesmhauri alikuwa muuaji kabisa! Glass nzima ya vinegar!!! Na hapo ndo umuhimu wa kusikiliza wataalam unapokuja. Hawa makanjanja mtaani ni tatizo sana.Sijui unaitafuta kwa matumizi gani ila naomba nitoe angalizo, mimi sio mtaalamu wa afya ila kuna mama mmoja alipewa ushauri awe anakunywa glass moja kwa siku ili apunguze unene, baada ya siku nne aliumwa sana baadae kidogo aligundulika ana kansa ya utumbo na hapa naandika ni alishafariki.
Ni shingapi iyoo mwanaa