Jamani natafuta apple acid vinegAr

Jamani natafuta apple acid vinegAr

Kwa anaehitaji kupunguza mwili atafte  cider +asali mbichi ya nyuki wadogo original kbsa achanganye ndani ya asali hyo mbichi kisha aweke  cider vinegar kiasi kama ni glas moja ndani ya lita 1 ya asali ataona asali inayeyuka kutoka kuwa nzito hadi kuwa kama maji matumizi atumie vijiko viwili vikubwa asubh na jion =matokeo ni haya atakuwa anakunywa maji mengi sana lakini pia
Angalizo
Kama huna mke nakushauri kutokutmia kbsa maana ina mambo siyo ya kawaida juu ya huo mchanganyiko utakuwa unataka kila siku kuzangamua
Pia kwa mgonjwa wa figo kuna mchanganyiko wake
Kwa wanaosumbuliwa na majini uchawi wa kulishwa pia kuna mchanganyiko wake juu ya hyo  cider
Kama umelishwa limbwata kuna mchanganyiko wake 1 week matokeo
 
a0ca7fcc-1cba-4585-baa6-c2fb284a89d3.jpg

Ya tiba n hii chini inakuwa kama ungaunga
 
3316b2db-e9f6-4f9f-aceb-016f9f403b85.jpg

Yakusafishia matunda kachumbari na mambo ya chumban kwa wanawake
 
Unatafutaje kitu hukijui, na bila shaka umeambiwa unywe upunguze unene utakufa vibaya ww acha ujinga. Inaitwa APPLE CIDER. Utakuja kupewa acid unywe ufe ukioza na kukatika katika swine we
 
Utofauti n kama nilivyozitofautisha kwenye picha mkuu
 
View attachment 2491727
Ya tiba n hii chini inakuwa kama ungaunga
hii vinegar (siki kwa kiswahili) huwa ni kali sana (acetic acid). Mtu anatakiwa atumie kwa uangalifu sana tena kidogo (siyo zaidi ya kijiko kimoja cha chakula tena diluted). Ukifululiza tu kunywa hata hayo meno yatafanya matundu.
 
Back
Top Bottom