Jamani natafuta Mume

Umesahau kumalizia "Hapa kazi tu"
 
Umetumia lugha ngumu ya kishkaji sana duh
 
Utaliweza shangingi la ccm mkuu?analala kwenye mikesha ya mwenge unapowashwa hadi unazimwa

Ha ha haaaaa
Nalala wapi eeeeeh
Nimechekaaaaa
Unafikiri mimi nina msukule kama wewe wa kufanya hayo.
 
Me namba yangu ni 10 na kwa nini utake namba ya cm c muanze inbox kwanza
 

LEMUTUZI ANAKUFAAA, NAPATA PICHA AKIKUINAMISHA KWA PODIUM HAHAHAHHAAAAAAAAAAAA

CCM HOYEEEEEEE
 
Kumbe unanjijua akikizako so nzuri

Ona ulivyodonoa kuniandikia kwa kutetemeka eeeeeeh

Zako zitakuwaje nzuri sasa huku kuninukuu tu uneweweseka.. unaandika halafu hapohapo unaogopa nondo za Cocochanel..

Ha ha haaaaa kituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…