Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Mim Msaidiz Wake Coco Ivyo Kufanya Ivyo Ni sawa Na Kutwanga Maji Katika KinuHa ha haaaaa
Shauri yako mshana jr atakutokea usiku huu kukubeba na ungo kwa kumtania
Umesahau kumalizia "Hapa kazi tu"Basi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
Ila kama huna mme njoo pm tuyajenge nitakubadirisha taratiibu
Naamini utafurahia maisha hautojutia
Utaliweza shangingi la ccm mkuu?analala kwenye mikesha ya mwenge unapowashwa hadi unazimwa
Umetumia lugha ngumu ya kishkaji sana duh
ya
yani mimi kama nakupata cha kwanza ntakwambia u mtusi bashite then mengine yafuate
Kama hujaolewa mume anayekufaa wewe ni ccm
Umesahau kumalizia "Hapa kazi tu"
Me namba yangu ni 10 na kwa nini utake namba ya cm c muanze inbox kwanza
Inaonekana unajua kubembelezaEeeeeeeeh
Huko PM sipajui.
Basi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
Mimi nakupenda ila ni chadema,kuna tatizo hapo kwani?
Kumbe unanjijua akikizako so nzuriEeeeeh
Kwa hiyo wanangu unafikiri wana akili hizo
Ha haaaa mbavu zangu...
Wako wamejaaa uUKAWA basi.
Kumbe unanjijua akikizako so nzuri