Jamani natafuta Mume

Ona ulivyodonoa kuniandikia kwa kutetemeka eeeeeeh

Zako zitakuwaje nzuri sasa huku kuninukuu tu uneweweseka.. unaandika halafu hapohapo unaogopa nondo za Cocochanel..

Ha ha haaaaa kituko
Umesema mwenyewe watotowako wanaakilinzuri sozakiccm .ila kweli tuachane namambo yasiasa vipi unapenda kutembelea viwanja gani nikuchek Leo usiku .
 
Umesema mwenyewe watotowako wanaakilinzuri sozakiccm .ila kweli tuachane namambo yasiasa vipi unapenda kutembelea viwanja gani nikuchek Leo usiku .

Hujasoma kuwa nina wangu wa milele na milele.. au hauelewi maana yake!?

Hadi nimecheka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwanamke una majungu hivyo akuowe nani
 
U-mtu mwema sana.Tatizo weye in sisyemu kindakindaki.Kubali kubadili itikadi,hakika utapata mchumba.
 
Eeeeeeh
Mbona ninae ha ha haaa

Naona kiushabiki wa kichama hata hukuelewa niliyoandika.. eeeeeeh
Nimemuandikia uliyemuwakilishia wazo. Naamini mnafanana hadi akili.The bird of a feather always flock and shit together! Msalimie uliyemuwasilishia jumbe.Mwambie wanaume wa JF wote tumeoa.Akina mama Wegesa ni wakali watatupiga miko ya pua.Hawapendagi uzumbukuku.
 


Eeeeeh
Hiyo hadithi umetunga umejitahidi
 
Hiyo picha kwenye avatar yako ni kama yule sanamu Samantha!

Eeeeeeh
Mbona kwa avatar kichwa kinasogea kukupa pita hukoooo...
Na huyo sanamu umtamanie ni gogo tu.
 
Ni pm please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…