Jamani natafuta Mume

Jamani natafuta Mume

Hata huyo ulie nae wa maisha lazima alitanguliza kadi ya chama. .
Mana sio kwa unazi huooooo
 
Tatizo post kama hizi zinakuja ka'mzaha flan'iv!
Wapo wahitaji wa kweli, siku zote wamekuwa wakiomba Mungu kupata mwanamke toka jf kama zawadi, lakini hii ya kutupia post bila ya kutupia taswira yako halisi ni utani ama soga kama zilivyo soga za kwenye vijiwe vya kahawa.
Weka sura mama watu wathamanishe, weka hata passport size.
Wanaume wanapenda sura na si maneno. Akikuweka ndani ndiyo atapenda maneno yako.
 
Kuna wanawake wengine unajiletea laana tu kwenye familia yako.

Hivi kweli mwanamke mwenye akili za kama huyu dada si afadhali ukafanye kazi Milembe.

Wewe nakujua kawaida yako
Wivu.com

Jiongeze uandike yako ya kuburudika humu.. hilooo pokea singi upite hukoooo
 
Kuna wanawake wengine unajiletea laana tu kwenye familia yako.

Hivi kweli mwanamke mwenye akili za kama huyu dada si afadhali ukafanye kazi Milembe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom