sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 158
Wana JF,
Nimekaa zaidi ya Masaaa nane Natafuta taarifa za jinsi ya kupanda Mlima Kilimanjaro(Pesa Ninayotakiwa kulipa, maandalizi na wapi naweza kwenda na kuanzia Safari yangu)
Naombeni Msaada kama kuna mtu ambae ana info, kwani kilia nikitafuta info kwenye net Nakutana na Info zinazowahusu Wageni tu!.
Nimekaa zaidi ya Masaaa nane Natafuta taarifa za jinsi ya kupanda Mlima Kilimanjaro(Pesa Ninayotakiwa kulipa, maandalizi na wapi naweza kwenda na kuanzia Safari yangu)
Naombeni Msaada kama kuna mtu ambae ana info, kwani kilia nikitafuta info kwenye net Nakutana na Info zinazowahusu Wageni tu!.