Jamani nataka nikawaone Simba uwanjani 6/Jan/2021. Napata wapi hizo tickets za ki digital?

Jamani nataka nikawaone Simba uwanjani 6/Jan/2021. Napata wapi hizo tickets za ki digital?

Humu jf hamuendagi tizama ball?
Mnaniangusha wakulungu
 
Haya sasa nitajie vituo vingine baasi maana kwenda mpk msimbazi mbali
Hivyo hapo
IMG-20210104-WA0047.jpeg
IMG-20210104-WA0047.jpeg
 
Sasa haya ndio majibu nlokua natafta.
Card naweza nisiipate sehemu nyingine zaidi ya pale msimbazi?

Kuna kko, sunderland duka la nguo nadhani pia maduka ya vunjabei sinza au Wapigie nid card bure kwa mawasiliano haya 0800110150 watakuelekeza vizuri eneo unaloweza kuzipata hizo card tofauti na hayo maeneo kulingana na eneo ulilopo!

Otherwise basi ufike uwanjani siku ya mechi, utazipata hizo card kwa mawakala pale ila ndio hivyo hilo punguzo sidhani kama utalipata!
 
Kuna kko, sunderland duka la nguo nadhani pia maduka ya vunjabei sinza au Wapigie nid card bure kwa mawasiliano haya 0800110150 watakuelekeza vizuri eneo unaloweza kuzipata hizo card tofauti na hayo maeneo kulingana na eneo ulilopo!

Otherwise basi ufike uwanjani siku ya mechi, utazipata hizo card kwa mawakala pale ila ndio hivyo hilo punguzo sidhani kama utalipata!
Dah asante sanaaaa
 
Feedback:::::::::
Kama hutaki usumbufu kununua hizi card nenda ofisi ya moja ya club inayocheza mechi unayoenda kuangalia. Mfano leo simba itacheza so jana nilienda msimbazi pale ofisi za club ya simba.
Card thamani yake ni shs elfu moja. Then hapo hapo unalipia ticket ya mech class uitakayo yaani VIP au kaj@mbanani aka mzunguko.
Hivyo vituo vinavyouza havitabiriki kwa Kweli kibongo bongo yaani maana nimeshangaa haviuzi.

Last option siku ya mechi nenda kanunua pale pale uwanjani wanakuwepo.

Ofisi za tff pale karume sometimes wanakuwepo mawakala wa kuuza hizi cards.
Niwashumuru wadau waliochangia huu uzi maana nilitumia directives na michango yao kupata taarifa na kuzifanyia kazi. Jf oyeeeeee
 
Back
Top Bottom