MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #181
Ni kweli lakini dada yangu ninakueleza HAYA YAPO. Tena utakuta atoa visingizio vya ajabu eti kesho ana kikao asubuh INAHUSU???MwanajamiiOne, hili sijawahi kukutana nalo hata siku moja.................... kunyimwa! mi naonaga hawa watu hata akiwa amezimia ukimkubalia tu atataka.................. wengine hadi unawakumbusha "wewe si mgonjwa, hata kula umeshindwa?" lakini biolojia hawashindwi
DC ndio maana nikasema wahenga wangetuwekea tu wazi kuwa mapenzi ni usanii ukibahatika ni bahati yako kuliko sie tunakaa tunaingia kichwa kichwa kwenye mapenzi matokeo yake ndo haya ..... mioyo inapata kutu.
MwanajamiiOne, hili sijawahi kukutana nalo hata siku moja.................... kunyimwa! mi naonaga hawa watu hata akiwa amezimia ukimkubalia tu atataka.................. wengine hadi unawakumbusha "wewe si mgonjwa, hata kula umeshindwa?" lakini biolojia hawashindwi
MJ1 umenikumbusha wimbo ufuatao wa KIDUMU ft LADY JAY DEE
Verse 1(Kidum)
Ikiwa umeamua kunitoroka
ikiwa unahisi kwamba hujiskii nami tena
na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
kupenda, usipende
ni kama kujitia kitanzi
nitachimba na sururu
kwa ardhi nikitafuta penzi lako
ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
sababu ntajikuna ama ntajikanda na maji moto
maumivu ya penzi, mtu hajikuni
wala hajikandi na maji
na hakuna upasuaji
Chorus
kama
kuna kosa nimewahi fanya(nielezee)
kama
kuna jinsi tunaweza leta(mpaka niishi)
na kama
kuna kitendo linaweza tendwa(nielezee)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
Verse 2(Lady Jay Dee)
kweli hukumbuki ulioyafanya
ni kweli unakumbuka tulikotoka
sisemi habari zozote za kusikia
bali kwa ushahidi niliouona
msamaha mara ngapi
umeshaomba na bado
chenye makosa mangapi
niliyoyafumbia macho
mpaka leo nahisi kufika kikomo
maumivu yanazidi
ndani ya moyo
sitaki kwenda mbali kwani uko moyoni
nikusamehe mimi mara ngapi wee
nielezee mpenzi mara ngapi
Chorus
unataka nikusamehe mara ngapi(usihesabu)
ungependa nikuvumilie mara ngapi(hii ni ya mwisho)
je wewe nikulilie mara ngapi(vumilia)
sitoweza(utaweza wee)
nimechoka(usichoke)
nimeshindwa(usishindwe)
naondoka(usiondoke)
sitoweza(utaweza yee)
nimechoka
nimeshindwa(usishindwe)
naondoka(usishindwe)
Verse 3
ukihesabu mara ngapi umenisamehe
ni kama kuhesabu
ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy
usichoke
usiondoke
usilie
niko hapa kukulinda
Chorus
kama
kuna kosa nimewahi fanya(nielezee)
kama
kuna jinsi tunaweza leta(mpaka niishi)
na kama
kuna kitendo lingeweza tendwa(nielezee)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
nitafanya(fanya)
nitatenda(tenda)
unataka nikusamehe mara ngapi(usihesabu)
ungependa nikuvumilie mara ngapi(hii ni ya mwisho)
je wewe nikulilie mara ngapi(vumilia)
sitoweza(utaweza wee)
nimechoka(usichoke)
nimeshindwa(usishindwe)
naondoka(usiondoke)
sitoweza(utaweza yee)
nimechoka
nimeshindwa(usishindwe)
naondoka(usishindwe)
DC ndio maana nikasema wahenga wangetuwekea tu wazi kuwa mapenzi ni usanii ukibahatika ni bahati yako kuliko sie tunakaa tunaingia kichwa kichwa kwenye mapenzi matokeo yake ndo haya ..... mioyo inapata kutu.
MwanajamiiOne, hili sijawahi kukutana nalo hata siku moja.................... kunyimwa! mi naonaga hawa watu hata akiwa amezimia ukimkubalia tu atataka.................. wengine hadi unawakumbusha "wewe si mgonjwa, hata kula umeshindwa?" lakini biolojia hawashindwi
Uzuri ni kwamba ukijipa moyo maisha yanasonga mbele.
Ila small house zinabembelezwa sana na zinajua kubembeleza saaana! Ndo maana infii inapewa GOLD MEDAL!
Nafikiri Kaizer you have a point here............ tatizo ni kuwa uwezo wa kuyajua hayo huwa mara nyingi hatuna hasa pale tunapoingia mahusianoni. Unfortunately we alwayz learn in a hard way.Unajua MJ1, at some time inabidi uepuke sana mapenzi ya vitabuni aka the 'ideal situation' kwa sababu hiyi haijawahi na wala haitakuwepo
Muhimu ni kuchukulia kila kitu on a 'case by case basis'...nadhani ukichukulia hiyo, basi huutapata presha
wengi wetu tunajikuta tumekwazika kwa sababu ya kuingia kwenye taasisi hii tukufu tukiwa na matarajio makubwa zaidi kuliko hali halisi
mfano tu hapo kwenye kubembeleza...ingia ukijua kwamba kuna mtu naweza kumbembeleza., asibembelezeke au kuna siku ata respond na siku nyingine atakuwa harespond kwenye mbembelezo
Kuna wakati mfano unaweza kuudhiwa kazini na bosi, aidha amekataa kukupandishia salary, au tu jambo jengine....inaweza kuudhi hadi ukirudi home hutaki kuongea na mtu hadi 'hasira ziishe' ...na SIO hasira zote zinaisha kwa kubembelezwa kwa kawaida..wengine tunahitaji a little bit of time to cool down.
Sorry for offending you Sir!! Wont happen againthat in red sounds too sexy... Sorry for being explicit:A S 13:
Ni kweli lakini dada yangu ninakueleza HAYA YAPO. Tena utakuta atoa visingizio vya ajabu eti kesho ana kikao asubuh INAHUSU???
Ah ok.....Ila utakuta sometimes mwenye nyumba ndogo jamaa akibembelezwa anabembelezeka but akija nyumbani habembelezeki. Anaanza kukunja ndita tangu kwenye kona. Mna vituko nyie!!!Uzuri ni kwamba ukijipa moyo maisha yanasonga mbele.
Ila small house zinabembelezwa sana na zinajua kubembeleza saaana! Ndo maana infii inapewa GOLD MEDAL!
Uzuri ni kwamba ukijipa moyo maisha yanasonga mbele.
Ila small house zinabembelezwa sana na zinajua kubembeleza saaana! Ndo maana infii inapewa GOLD MEDAL!
MwanajamiiOne, hili sijawahi kukutana nalo hata siku moja.................... kunyimwa! mi naonaga hawa watu hata akiwa amezimia ukimkubalia tu atataka.................. wengine hadi unawakumbusha "wewe si mgonjwa, hata kula umeshindwa?" lakini biolojia hawashindwi
that in red sounds too sexy... Sorry for being explicit:A S 13:
ha haaaaaaaaaaaaa, umenichekesha kweli. kuna siku nilienda na uncle wangu kwa small house alikuwa very happy na tulitia story sana tu. muda wa kurudi home kwa mamie ukafika. yaani kuingia mlangoni tu.. hakuna story wala nini............... mi nikawa najishangalia tu...Ah ok.....Ila utakuta sometimes mwenye nyumba ndogo jamaa akibembelezwa anabembelezeka but akija nyumbani habembelezeki. Anaanza kukunja ndita tangu kwenye kona. Mna vituko nyie!!!
oooooohhhhhhhhhhh oooooooooohhhhhhhhhhhh........... kumbee! sasa na big house ikitaka ibembelezwe sana ifanyaje?
Kiongozi nadhani huko ulipo SI KWEMA kabisa....just my observation....confidence level ni 0.01
[/COLOR]
Naona sasa wewe unawafahamu wanaume kwa undani. Kuna jamaa alikuwa na homa kali akatembelewa na GF wake akaamua kufanya ngono. Baada ya GF kuondoka ilibidi tuhangaike kumuokoa.
Hao ndio wanaume. Kwa kunyimwa unyumba anaweza kumchukia mwanamke na ukoo wake wote wakiwemo hata watoto wake wa kuwazaa! Acha mchezo na ngono...!
Mi huwa najishangalia tu. basi mimi nilidhani ni huyu wangu tu................. mpaka nilikuwa nawaza kupunguza manjonjo labda atakuwa hatamani tena............. lol!
umeolewa?MwanajamiiOne, hili sijawahi kukutana nalo hata siku moja.................... kunyimwa! mi naonaga hawa watu hata akiwa amezimia ukimkubalia tu atataka.................. wengine hadi unawakumbusha "wewe si mgonjwa, hata kula umeshindwa?" lakini biolojia hawashindwi