Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah
unakuwa macho pia uchi! makubwa haya!
Si nimekumbia njoo huku nikufafanulie?
Hebu njoo huku chemba...mambo mengine watoto hawapaswi kuyasikia.
Hatupaswi kusikia lkn nataka nikupe findings
Hatupaswi kusikia lkn nataka nikupe findings
Usijali, kwakuwa unapendwa, utalindwa!Mh... Hapa nahisi natakiwa kuwa makini kidogo!
Hommie nilimtuma mabo yetu yaleee. Sasa wewe subiri matokeo. Afu usiulize sana, unajua leo tuko kwenye simanzi!ulikuwa kwenye research mission nini? duh
:A S 103::A S 103::A S 103:MJ1, leo utakua wapi tumkumbuke Nyerere?
Smiles usije tena, haya Wiselady nakusubiri huku!:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
We si umekataa kuja? Waachie wenzio walete findings zao kwangu....kama una zako, nletee kesho!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:???????Makubwa haya....
madogo yana nafuu
acid is in the house
smiles take care na mapapaa..lolMakubwa haya....
Maskini Smiles kumbe kudengua sana hakuna ishu, ona wenzako wanajikata kisilesi kiulainiii.We si umekataa kuja? Waachie wenzio walete findings zao kwangu....kama una zako, nletee kesho!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:???????
smiles take care na mapapaa..lol
smiles take care na mapapaa..lol
Hiiiiiiii jamani wewe!! I missed u sweetness...ulikuwa wapi?? Hawa hapa mi wala hawanisumbui si unajua jinsi tulivyotofautiana itikadi...
ni mtizamo tu,, sio itikadi Smiles...ujumbe wako nimeupata thanks:A S thumbs_up:
Na risiti nshamwandikia:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Na risiti nshamwandikia:biggrin1::biggrin1::biggrin1: