Jamani...Nauliza tu

Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo

Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah

Fahamu hata kulia ni vitendo.

Vilevile kubembelezwa ni vitendo pia. Vyote ni sawa ila kipimo ni kilicho rohoni ambacho hatukijui kabisa ila mwenye hiyo roho.
 
MJ1, leo utakua wapi tumkumbuke Nyerere?
 
Makubwa haya....
We si umekataa kuja? Waachie wenzio walete findings zao kwangu....kama una zako, nletee kesho!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:???????
 
We si umekataa kuja? Waachie wenzio walete findings zao kwangu....kama una zako, nletee kesho!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:???????
Maskini Smiles kumbe kudengua sana hakuna ishu, ona wenzako wanajikata kisilesi kiulainiii.
 
smiles take care na mapapaa..lol

Hiiiiiiii jamani wewe!! I missed u sweetness...ulikuwa wapi?? Hawa hapa mi wala hawanisumbui si unajua jinsi tulivyotofautiana itikadi...
 
Hiiiiiiii jamani wewe!! I missed u sweetness...ulikuwa wapi?? Hawa hapa mi wala hawanisumbui si unajua jinsi tulivyotofautiana itikadi...

ni mtizamo tu,, sio itikadi Smiles...ujumbe wako nimeupata thanks:A S thumbs_up:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…