Jamani...Nauliza tu

Jamani...Nauliza tu

Hii sredi mumeichakachua hadi sikumbuki ilikuwa inazungumzia nini tena...... Nikilia nabembelezwa kwa upendoooo
 
Hii sredi mumeichakachua hadi sikumbuki ilikuwa inazungumzia nini tena...... Nikilia nabembelezwa kwa upendoooo

Habari yako hivi jana tulikuwa pamoja au ni kwamba mtu niliyekuwa nae baada ya kupiga valuu sura ikabadilika ikawa kama ya kwako?
 
Habari yako hivi jana tulikuwa pamoja au ni kwamba mtu niliyekuwa nae baada ya kupiga valuu sura ikabadilika ikawa kama ya kwako?

Mpwa unaonaje ukaenda kuzimua? Naona bado ziko kumkichwa. Jana nlikuwa na kajukuu kangu Chudaaaaa. Alikuwa amkata bibiye kucha za miguuni.:A S 103::A S 103::A S 103:
 
Mpwa unaonaje ukaenda kuzimua? Naona bado ziko kumkichwa. Jana nlikuwa na kajukuu kangu Chudaaaaa. Alikuwa amkata bibiye kucha za miguuni.:A S 103::A S 103::A S 103:

:smiling::smiling::smiling::smiling: sasa kumbe mjukuu wako tokea uwe chudaaaa na yeye naona ameingia na amesahau thread kabisa akahisi imechakachuliwa hivi ulimpa nini uko:dance::dance::dance::dance:
 
:smiling::smiling::smiling::smiling: sasa kumbe mjukuu wako tokea uwe chudaaaa na yeye naona ameingia na amesahau thread kabisa akahisi imechakachuliwa hivi ulimpa nini uko:dance::dance::dance::dance:

Chuda Raha!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Habari yako hivi jana tulikuwa pamoja au ni kwamba mtu niliyekuwa nae baada ya kupiga valuu sura ikabadilika ikawa kama ya kwako?
Hahahahahahaha wewe hebu sema taratibu maana jana mh..................
 
Chuda Raha!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Mjukuu wako mbona kaingia mitini au umempeleka chemba, jana ni wewe na Acid mlikosekana kwenye kikao kifupi cha kujadili kumbukumbu ya JK Nyerere mida ile nilipo :A S 101::A S 101:
 
Taratibu kajukuu...utaharibu!:grouphug::grouphug::grouphug:

Mpwa unataka awe :gossip::gossip::gossip::gossip::gossip:kwenye masuala yanayohusiana na chuda ngoja :behindsofa::behindsofa:
 
Mjukuu wako mbona kaingia mitini au umempeleka chemba, jana ni wewe na Acid mlikosekana kwenye kikao kifupi cha kujadili kumbukumbu ya JK Nyerere mida ile nilipo :A S 101::A S 101:

Tulikuwa kwenye ziara ya Dr Slaa ya kuomba baraka kwenye kaburi la Hayati JKN (RIP):A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Back
Top Bottom