Jamani...Nauliza tu

Orait nimekuelewa Acid.


Ila katika wakati huu ambapo kila kitu kinachakachuliwa ni vigumu sana kuamini hisia hizi au nakosea?

Naumia na mawazo sijui nini nini...................gari pesa sina ndio maana sijui nini nini mchumba aisee huo wimbo acha, habari za mchana oopsss sori za asubuhi
 
Orait nimekuelewa Acid.


Ila katika wakati huu ambapo kila kitu kinachakachuliwa ni vigumu sana kuamini hisia hizi au nakosea?

Hapo ndipo unapokosea kajukuu. Mathalan kwa mfano rahisi, Mapenzi ya babu na mjukuu hayana chembe za uchakachuzi. Kama kuna mtu anabisha anaruhusiwa kwenda mahakamani.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Hapo ndipo unapokosea kajukuu. Mathalan kwa mfano rahisi, Mapenzi ya babu na mjukuu hayana chembe za uchakachuzi. Kama kuna mtu anabisha anaruhusiwa kwenda mahakamani.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Shkangu hivi huu wivu kwa mjukuu mbona unazidi kiasi hicho nikitaka kumletea:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose: na yenyewe itabidi nipite kwako kwa ajili ya kunigongea gate pass?
 
Shikamoo babu yangu mimi. Ah Babu nimeuliza tu mbona unaleta malumbano?....nitajiweka pembeni ohooooo!!

Mzima lakini?

Bora uepuke msongamano!

Mzima, katukuu kako salama? Kaambie babubuye ana kalavu zo veri machi! Halafu kaache tabia mbaya ya kugombania magari show room, babuye ntafilisika kabla sijazeeka.
 
Naumia na mawazo sijui nini nini...................gari pesa sina ndio maana sijui nini nini mchumba aisee huo wimbo acha, habari za mchana oopsss sori za asubuhi
Hahaha Finest lol
habari za asubuhi ni poa kabisa huo wimbo wako lol ndo unafanya mazoezi uingie studio nini?
 
Hapo ndipo unapokosea kajukuu. Mathalan kwa mfano rahisi, Mapenzi ya babu na mjukuu hayana chembe za uchakachuzi. Kama kuna mtu anabisha anaruhusiwa kwenda mahakamani.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Kipendacho roho ula nyama mbichi..............:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Hapo ndipo unapokosea kajukuu. Mathalan kwa mfano rahisi, Mapenzi ya babu na mjukuu hayana chembe za uchakachuzi. Kama kuna mtu anabisha anaruhusiwa kwenda mahakamani.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Ah babu simaanishi haya ya kwako lol.... afu eti anayebisha aende mahakamani atashtaki kosa gani? Ahahaha utanifanya mkoloni wangu anishtukie maana amezoea kuniona in Blue monday kila jumatatu sasa leo akiona nina smile atanikata mshahara!
 
Shkangu hivi huu wivu kwa mjukuu mbona unazidi kiasi hicho nikitaka kumletea:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose: na yenyewe itabidi nipite kwako kwa ajili ya kunigongea gate pass?
The Finest sasa unaanza kuichakachua akili ya Babu yangu hapa............. Utadaiwa mahari sasa hivi kabla hata hujatangaza nia Shauri yako!!
 
Shkangu hivi huu wivu kwa mjukuu mbona unazidi kiasi hicho nikitaka kumletea:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose: na yenyewe itabidi nipite kwako kwa ajili ya kunigongea gate pass?

Wakati namchumbia bibi yenu, niliwahi kusikia watu wakisema, Kipendacho roho hula nyama mbichi.
 
The Finest sasa unaanza kuichakachua akili ya Babu yangu hapa............. Utadaiwa mahari sasa hivi kabla hata hujatangaza nia Shauri yako!!

Tatizo huyu kijana anapotea njia. Anataka amchumbie binamu yake. Babu hapendi.
 
The Finest sasa unaanza kuichakachua akili ya Babu yangu hapa............. Utadaiwa mahari sasa hivi kabla hata hujatangaza nia Shauri yako!!

Babu yako nimeishaujua udhaifu wake uko wapi nitautumia huo udhaifu kama upenyo wangu, usijali nitahakikisha ili logistics ziende vizuri tutatafuta:car::car:sio ya mjapani lakini nafikiri mjerumani
 
sikujua kama wewe ni mcheza shoo mzuri namna hii! Hebu nisaidie kumuuliza kajukuu, kwanini jana alitutekeleza mazima?
.......Kwa sababu hamkujua kubembeleza kwa upendo wala kuliwaza kwa vitendo loh
 
Babu yako nimeishaujua udhaifu wake uko wapi nitautumia huo udhaifu kama upenyo wangu, usijali nitahakikisha ili logistics ziende vizuri tutatafuta:car::car:sio ya mjapani lakini nafikiri mjerumani
...............lol sasa hapa unamchakachua mzima The Finest.... Babu yangu atakudai Starlet toka Ujerumani.
 
si kweli kwamba kila kitu kinachakachuliwa...
Mh you might be raiti.............

Acid naomba nisaidie hapa naona nakuwa komfyuzidi...

Infii na nyumba ndogo ipi ni product ya uchakachuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…