Jamani...Nauliza tu

Jamani...Nauliza tu

sikujua kama wewe ni mcheza shoo mzuri namna hii! Hebu nisaidie kumuuliza kajukuu, kwanini jana alitutekeleza mazima?

Nafikiri lawama zitaenda kwako babu maana inawezekana hauku:A S 101::A S 101:maana mjukuu anaogopa kumuanza babu ila nahisi kama mjukuu wako alikuwa amekaa sehemu anatuchora tu
 
sikujua kama wewe ni mcheza shoo mzuri namna hii! Hebu nisaidie kumuuliza kajukuu, kwanini jana alitutekeleza mazima?

Mzee wa Usalule alikuwa anapiga juu kwa juu alinifurahisha sana na wale mama wa njano njano ghafla akawatungia nyimbo ya chadema
 
Nafikiri lawama zitaenda kwako babu maana inawezekana hauku:A S 101::A S 101:maana mjukuu anaogopa kumuanza babu ila nahisi kama mjukuu wako alikuwa amekaa sehemu anatuchora tu
Usisahau mie ni Note Taker wa Bibi yangu yaani mkewe Babu ati
 
Na vile alikuwa introduced kama Inv kaaaazi kweli kwelii

Umeona eheee maana alikuwa anatupa warning za hatari nikitaka kubadilisha mawazo na mjukuu mara babu yako eti ananiambia niombe ACCESS kwanza dah huyo babu ngoja
 
Umenikumbusha kitu na huo msemo dah....leo sijui kwanini nakuwa msiri sana
Hebu bwana acha hizo The Finest .......unajua hii inakinzana na Sheria mama namba 3 ya chama chenu!! unatakiwa ushee siri hakuna
 
Mh you might be raiti.............

Acid naomba nisaidie hapa naona nakuwa komfyuzidi...

Infii na nyumba ndogo ipi ni product ya uchakachuzi?

hakuna inayochakachuliwa, kuchakachua ni ku-adulterate... lakini infi... mama anapewa kitu pure, na nyumba ndogo/kubwa anapewa kitu pure... kila mmoja kwa wakati wake na heshima yake

Cha maana siku zote ni kuelewa your limits
 
hakuna inayochakachuliwa, kuchakachua ni ku-adulterate... lakini infi... mama anapewa kitu pure, na nyumba ndogo/kubwa anapewa kitu pure... kila mmoja kwa wakati wake na heshima yake

Cha maana siku zote ni kuelewa your limits
But I think nyumba ndogo is more respectable than Infii---- basing on sheria namba 3. em Ai rongi?
 
Back
Top Bottom