Jamani...Nauliza tu

Jamani...Nauliza tu

tongoza gani hii ya kizamani hivyo jamani, kijana nione nikupatie mitongozo mpya ucnitie aibu.

Nyamayao nakuaminia mpe somo, valuu huwa zinamtolea nishai wkt wa kutongoza kwa hiyo hana skills
 
The Finest niingie mitini mie gari la mlevi jamani?

Wala nipo ni huyu mkoloni kijana hapa kanishika pabaya wallah nadhani kanishtukia nilitaka kuichakachua ijumaa niipeleke masaa mbele!!! (haya sasa nimekupa la kusema)
 
The Finest niingie mitini mie gari la mlevi jamani?

Wala nipo ni huyu mkoloni kijana hapa kanishika pabaya wallah nadhani kanishtukia nilitaka kuichakachua ijumaa niipeleke masaa mbele!!! (haya sasa nimekupa la kusema)

Mwambie mkoloni eti babu hapendi!
 
@ Acid............ Rejea swali kamanda sijasema nabembelezwa mie nimeuliza wapo wanaobembelezwa kiukwelii? Mie bahati hiyo sijaipata bado (Tatizo la kuchelewa kuzaliwa pengine ningekuwa nimekula chumvi za kutosha ningekuwa na simulizi tamu lol)
 
The Finest niingie mitini mie gari la mlevi jamani?

Wala nipo ni huyu mkoloni kijana hapa kanishika pabaya wallah nadhani kanishtukia nilitaka kuichakachua ijumaa niipeleke masaa mbele!!! (haya sasa nimekupa la kusema)
Yesu kristu mwalimu
 
@ Acid............ Rejea swali kamanda sijasema nabembelezwa mie nimeuliza wapo wanaobembelezwa kiukwelii? Mie bahati hiyo sijaipata bado (Tatizo la kuchelewa kuzaliwa pengine ningekuwa nimekula chumvi za kutosha ningekuwa na simulizi tamu lol)
Kamanda, rest assured kwamba una simulizi tamu...
 
Mpwa nguvu za kucheki out nnazo basi zile castle za jana balaa! Muhudumu wa hi guest anansumbua nitoke! Nimemwambia anze usafi vyumba vingine bana!

Ha ha ha ha ha halafu huwa hawazidishi hata dakika tano ukifika muda wako wa kuceck out, pale pa jana panafaa sana sana kwa kufanyia research zetu na field za INFIDELITY
 
@ Acid............ Rejea swali kamanda sijasema nabembelezwa mie nimeuliza wapo wanaobembelezwa kiukwelii? Mie bahati hiyo sijaipata bado (Tatizo la kuchelewa kuzaliwa pengine ningekuwa nimekula chumvi za kutosha ningekuwa na simulizi tamu lol)


umeonae? sasa na wewe usichelewe kuzaa!
 
tongoza gani hii ya kizamani hivyo jamani, kijana nione nikupatie mitongozo mpya ucnitie aibu.

Nyamayao...we dont change winning teams....sasa kama kijana nafanikiwa kwa nini abadilishe mbinu?
BTW: siku hizi hakuna kutongoza..
 
The Finest niingie mitini mie gari la mlevi jamani?

Wala nipo ni huyu mkoloni kijana hapa kanishika pabaya wallah nadhani kanishtukia nilitaka kuichakachua ijumaa niipeleke masaa mbele!!! (haya sasa nimekupa la kusema)

Hivi mkoloni huwa akubembelezi?
 
Back
Top Bottom