Jamani nauliza:

Jamani nauliza:

Zungwe

Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
16
Reaction score
2
Ningependa kuliza kwamba wajumbe wepi waliochukua form kwa ajili ya kuwania makam uwenyekiti wa bunge maluumu la katiba mpya. anaejua anijuze
 
Ningependa kuliza kwamba wajumbe wepi waliochukua form kwa ajili ya kuwania makam uwenyekiti wa bunge maluumu la katiba mpya. anaejua anijuze
bado hakuna taarifa za wazi lakini ni lazima awe mzanzibar mwanamke kwa mujibu wa zile kanuni walizotunga. mimi binafsi yangu naona haijakaa vizuri maana wazanzibari wanalazimishwa kuweka mwanamke hata kama hawataki.
 
bado hakuna taarifa za wazi lakini ni lazima awe mzanzibar mwanamke kwa mujibu wa zile kanuni walizotunga. mimi binafsi yangu naona haijakaa vizuri maana wazanzibari wanalazimishwa kuweka mwanamke hata kama hawataki.

Nikweli ndugu usemayo.
 
Back
Top Bottom