Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamanda, huwezi kupata mkopo kama huna supoporting credit credentials kama stable income, forma business etc. anayekupa pesa anategemea returnskwanini usikope kwa kutumia hiyo nyumba...
Ipo mbagala,imekamilika ujenzi bado kupaua/kuuzeka tu. choo kimechimbwa na kujengewa. eneo linafikika ni jirani na nzasa shuleni bei ni 25 ml. dalali hatakiwi kama unahitaji nipm:help::help:
kamanda, huwezi kupata mkopo kama huna supoporting credit credentials kama stable income, forma business etc. anayekupa pesa anategemea returns
na sio kila mwenye nyumba yuko eligible kupata mkopo...
cha maana ni ajipange ili aweze kutumia hiyo pesa kuzalisha 50M in teh coming 12 months or shorter period... it can be done
.................
cha maana ni ajipange ili aweze kutumia hiyo pesa kuzalisha 50M in teh coming 12 months or shorter period... it can be done
Afadhali ungemalizia nyumba hiyo kwa umaliziaji wa kawaida na kupangisha watu, mapato ya kupangisha ndiyo utumie kuanza kajibiashara kadogo na kwa mtindo huu hutaumiza sana kichwa, kwani ulicho nacho mkononi ni dhamana kubwa katika maisha yako ukilinganisha na cha kufikirika unachofikiri kitakupa manufaa bila uhakika na hivyo kujiweka kwenye risk kubwa ya kupoteza vyote kwa mkupuo.
How??!!
unahitaji kufikiri mara 3 kabla ya kuuza hiyo nyumba mkuu. Biashara ni wazo jema lakini sio kila aingiae kwenye biashara sharti afanikiwe. Huwa nakuwa wa mwisho kumkatisha mtu tamaa ya kuingia kwenye biashara lakini kwa hili la kuuza nyumba, mh.... Au unayo nyingine kama u?epanga angalia alternative
kuna avenue 12 za kufanya 25M izae anothe 25 legally, is he ready?, i did it but he has to assess his potentials, opportunities and players
to me, shilingi ilizaa shilingi na nusu
Bado hujajibu swali uliloulizwa umeulizwa how?au unataka kutuletea yale mambo ya karata tatu unapoanza kufichaficha unaanza kuwapa watu wasiwasi.
Moja ya njia hizo ni Microfinance, ukiweza kufanya assessment vizuri bila ya kukurupuka inalipa, na ukajiandaa sana na soko lipo. Kuna kampuni moja ipo maeneo ya Lufungila (MWENGE) inaitwa Enterprise Finance Limited inaoperate legally na wanatoa mikopo kwa 10% per month (kwa mwaka mzima kila shillingi yao inazaa zaidi ya shilingi moja). Kuna wengine wanaitwa Platinum Credit hawa ni balaa (30% per month), kuna Easy Finance.
Ninachojiaribu kusema ni kwamba Financial Sector kwa hapa Tanzania bado ina Gap kubwa sana, na wajasiriamali wachache wanaina hiyo gap kama opportunity (wanacapitalize on it na kutengeneza fedha). Hebu jiulize pamoja na uwepo wa Saccos zote hizi, pamoja na uwepo wa bank zote hizi ni kwa nini watu bado wanaenda kukopa kwenye riba ya 10% leave alone hiyo 30%?
Mimi kuna mtu alinifuata na 5m akaniomba ushauri wa kufanya biashara, (na kwa namna alivyokuwa si mtu wa kuamka asubuhi na kwenda kufungua duka au mgahawa ). U know what? Nilimpatia details zote za Microfinance, na nikamuunganisha na wateja wachache. Baada ya Miezi mitano akawa na 10M (alikuwa anaoperate informally) sasa amenifuata tena anataka kuformalize biashara yake ili atambulike kisheria.
It can be done kama una talent na capacity ya kufanya biasharakama alivyo sema MTM
N.B. Provision of Microcredit is not an easy business but once you learn the tricks it will give you a lot of profit.
Saluti mkuu,hiyo ni sawa kabisa nimekubaliana na wewe lakini hii microfinance inachallenge zake kubwa,nakumbuka kuna mama alichukua mkopo hukohuko microfinance ilikuwa kitu kama laki 8,akaziingiza kwenye biashara zikazama akashindwa kulipa interest ikaongezeka mpaka akawa anadaiwa 2m wakaja nyumbani kwake kumsafisha vitu vya ndani ikawa vurugu mme wake akaweka ngumu pigana peleka polisi,kesi,na vitu vya ndani ya nyumba hawakupata hela yao ambayo ilikuwa imeshafika 2M hawakulipwa bado kuuzuria mahakamani sasa vurugu zote zinanifanya mie naona hii issue ya microfinance kuifanya lazima uwe na thick skin.
Suala lingine ni hiyo interest ya 10 to 30 percent per monthy sizani kama ukiiandikisha microfinance yako kisheria unaruhusiwa kuweka interest unayotaka wewe lazima kutakua na baseline.
Nawasilisha.