Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha uchokoziHuyo kwenye avatar ni wewe?🤔
Sura ya kijana wa ovyo.Jaman avatar yangu kwan ikoje,sura ya zombie au? Anyway nisaidien kazi tu ndugu zangun
Kama huyo wa kwenye dp ni wewe basi sahau kazi yeyote nyumbani kwa mtu.
Wewe utakuwa na kazi ya kujilamba midomo na kurembua macho ukimuona mama mwenye nyumba na watoto wa kike.
Nina hakika kwenye hiyo picha hapo chini ulikuwa umevaa yeboyebo na socks.
View attachment 3083016
Unaozaje wakati nafaidi mbolea hizo!Duuu! Mdomo si utaoza mkuu? 🤣
Shukurani mkuuDogo kwa harakaharaka unaonekana bishoo mlamba midomo tena mvaa ear phone muda wote usiyeshaurika na yeyote.
Sasa kama kweli unashida ya kazi nenda maeneo ya buguruni kuna magereji mengi na karakana za kutosha kajaribu maeneo hayo kuomba kazi hutokosa.
Msimdhihaki huyu mtoto plzDah sawa tu ndugu haya macho sikosoi uumbaji wa mungu
amina
Wazoee tuu wanaJF 😂Rubbish c'mnts i never though y'all disguistin