Fazza ndiyo jina la Crown Prince of Dubai.( the one with a hundred cars in his garage).
Pole sana,unatafuta kazi?
Mi naitafuta mfanyakazi,lakini awe half your age,pia awe demu.
At my age,every little task is a torture.
Lakini it is so difficult to get a servant because some people think they should dictators and they must decide everything that other people can or cannot do
Nilitaka kuwasiliana na watoto,wasichana walio boarding school,I have to talk to them through their teacher.
Halafu yule mwalimu akataka kuniibia hela.
There is so much disgusting dictatorship all across the country.
Sijui tumefikaje hapa .
Labda ni baada ya Magufuli kuwa dictator watu wamekuwa machizi all across the country.
Huu udikteta utawatokea watu puani.
Imekuwa sasa we have to ask for permission to go to the bathroom to pee .