whiteseeds
New Member
- Jul 16, 2013
- 3
- 0
hellow , mimi kuna kitu kina nitatiza sana maana kila siku kuna sababu zinatoka kuhusu hawa tcu, nahitaji jua nilini wanafunzi walio apply kujiunga na chuo watapata matokeo yao maana inakera . imekuwa mda mrefu sana bila kujua ni nini kilichopo..