Ni muda mrefu tu natafuta mchumba lkn sijampata ambaye nilikuwa namuhitaji sasa najiuliza je? nikisema nimuowe yeyote tu sitapata taabu hapo mbele ya safari au nifanye nini? maana nina hamu kwelikweli ya kuingia kwenye mahusiano ya mke na mume nilijaribu kutumia hiyi blog ckumpata so nisaidie kwa ushauri nifanye nini???????
Hii sio blog, hii ni website.
Wewe ni mwanaume au mwanamke?
Ni muda mrefu tu natafuta mchumba lkn sijampata ambaye nilikuwa namuhitaji sasa najiuliza je? nikisema nimuowe yeyote tu sitapata taabu hapo mbele ya safari au nifanye nini? maana nina hamu kwelikweli ya kuingia kwenye mahusiano ya mke na mume nilijaribu kutumia hiyi blog ckumpata so nisaidie kwa ushauri nifanye nini???????
nina miaka 28 but i'm very tired na maisha ya ubachelor
hapana japokuwa swala la uzuri lipo lkn sio kwa sana but wana JF now day wanawake hawaeleweki so ni ngumu sana kumpata muelewa na wakati mwingene nafikiria nikichelewa sana sitakuja kuoa tena cos nitazoea na maisha ya ubachelor na hata family yangu nitaipa uzeeni ndio hizo habari za watoo kuja kulelewa na nduguInawezekana njia unayotumia ku'recruit' wenye vigezo unavyovitaka sio..
Jaribu kuangalia tena kwa nini wanawake unaokutana nao hawameet vigezo vyako..
Isije kuwa unataka kumuoa 'malaika'..
mkuu which time unaongera it means i'm not grown enough to have marriage?ucwe na akili ya kipuuz hivi unadhan kwa mawazo yako hayo hata wanawake wa humu watakuamini,kwanza cio mahala pa kuleta hoja zako,love ni kitu kinachohitaji time and good environment,kuwa na subira la si hivyo utafeli.