James strong
New Member
- Aug 19, 2011
- 4
- 1
mpaka sasa nina miaka 35 na sijaoa ingawa natamani sana kufanya,nimedanganywa na wadada wawili,kila mmoja kwa wakati tofauti,sasa naogopa kabisa sasa sijui nifanyaje na kuoa nataka lakini namtafuta mkweli na mwaminifu
mpaka sasa nina miaka 35 na sijaoa ingawa natamani sana kufanya,nimedanganywa na wadada wawili,kila mmoja kwa wakati tofauti,sasa naogopa kabisa sasa sijui nifanyaje na kuoa nataka lakini namtafuta mkweli na mwaminifu
Miaka 35 ushaanza kuchanganyikiwa?? Watu wana 50 lkn mabachela tu!!