Kuna kitabu cha tcu kinaitwa-
tcu admission guidelines book
nenda pale maktaba ya mkoa utakikuta(au download)
hapo utakutana na kozi/fani kibao tu zinazohitaji "egm" sasa wewe utachagua kozi unayoipenda.
Mimi kimensaidia kufanya maamuzi mazuri.
N.b kuna changamoto kwenye soko la ajira..kwaio inabidi usome alama za nyakati.
tcu admission guidelines book
nenda pale maktaba ya mkoa utakikuta(au download)
hapo utakutana na kozi/fani kibao tu zinazohitaji "egm" sasa wewe utachagua kozi unayoipenda.
Mimi kimensaidia kufanya maamuzi mazuri.
N.b kuna changamoto kwenye soko la ajira..kwaio inabidi usome alama za nyakati.