Kuna kitabu cha tcu kinaitwa-
tcu admission guidelines book
nenda pale maktaba ya mkoa utakikuta(au download)
hapo utakutana na kozi/fani kibao tu zinazohitaji "egm" sasa wewe utachagua kozi unayoipenda.
Mimi kimensaidia kufanya maamuzi mazuri.
N.b kuna changamoto kwenye soko la ajira..kwaio inabidi usome alama za nyakati.