Jamani nikisoma EGM Naweza kufanya kazi gani hapo baadae??

Kuna kitabu cha tcu kinaitwa-

tcu admission guidelines book

nenda pale maktaba ya mkoa utakikuta(au download)

hapo utakutana na kozi/fani kibao tu zinazohitaji "egm" sasa wewe utachagua kozi unayoipenda.
Mimi kimensaidia kufanya maamuzi mazuri.

N.b kuna changamoto kwenye soko la ajira..kwaio inabidi usome alama za nyakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…