kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Wana Jukwaa,
Mimi ndugu yenu napenda kuchukua muda na fursa hii kuwaombeni msaada wa mawazo/ushauri.
Mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22 na bado sijahamua kuingia kwenye ulimwengu wa malavidavi rasmi.
Kuna mambo mawili yanayo nitatiza na kunisononesha.
Kwanza: Mama amekuwa mkali akitaka nioe na eti ni lazima nioe kabla ya mwisho wa mwaka. Hili limekuwa gumu ikizingatiwa kwamba ndiyo kwanza niko katika hatua za awali za elimu ya juu.
Pili: Kuna mtoto wa shangazi yake baba amekuwa akinisumbua sana; huku akisema ananipenda sana na angependa tuwe wapenzi, wachumba na baadae wapenzi. Niko mbali naye na anataka asafiri japo akae na mimi wiki moja kisha arudi.
Mambo hayo tajwa yamenifanya kuwa na mawazo sana.
Naombeni ushauri jamani.
Mimi ndugu yenu napenda kuchukua muda na fursa hii kuwaombeni msaada wa mawazo/ushauri.
Mimi ni kijana mdogo mwenye umri wa miaka 22 na bado sijahamua kuingia kwenye ulimwengu wa malavidavi rasmi.
Kuna mambo mawili yanayo nitatiza na kunisononesha.
Kwanza: Mama amekuwa mkali akitaka nioe na eti ni lazima nioe kabla ya mwisho wa mwaka. Hili limekuwa gumu ikizingatiwa kwamba ndiyo kwanza niko katika hatua za awali za elimu ya juu.
Pili: Kuna mtoto wa shangazi yake baba amekuwa akinisumbua sana; huku akisema ananipenda sana na angependa tuwe wapenzi, wachumba na baadae wapenzi. Niko mbali naye na anataka asafiri japo akae na mimi wiki moja kisha arudi.
Mambo hayo tajwa yamenifanya kuwa na mawazo sana.
Naombeni ushauri jamani.