Jamani nimefiwa!

Jamani nimefiwa!

pole kwa wafiwa wote na kwako mpendwa kwa kuondokewa na best wako.
 
pole mkuu na pole kwa wafiwa wote
Mungu alaze roho ya marehemu peponi, Amina
 
Pole Kwako Na Familia Ya Bestman. Alale Pema Peponi. Amina.

Steve Dii
 
jamani mwenzenu siku ya leo nimepata msiba mkubwa wa kupotelewa na bestman wangu mpendwa. Ameilea ndoa yangu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili tu. Nisipotembelea JF kesho mjue kuwa nipo kwenye majonzi majonzi mazito:A S cry:.

Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina

My condolences
 
Mungu awatie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
Amen
 
Ndugu,

Pole sana,kazi ya Mungu haina makosa,

Jipe Moyo,wote safari ni moja,

Ameni
 
Pole sana mkuu, mungu akuongoze katika kipindi hiki kigumu
 
Pole sana...Mungu amlaze mahali pema peponi. AMEN
 
Kazi ya Mungu haina makosa R.I.P Best man.
 
bwana ametoa,bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe!pole sana mkuu!poleni sana wafiwa
 
jamani mwenzenu siku ya leo nimepata msiba mkubwa wa kupotelewa na bestman wangu mpendwa. Ameilea ndoa yangu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili tu. Nisipotembelea JF kesho mjue kuwa nipo kwenye majonzi majonzi mazito:A S cry:.

Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina

Pole sana mkuu
 
Pole sana mkuu.......Mungu ailaze roho yake mahali pema peopni.
 
Back
Top Bottom