Riba ya 2.5 kwa mwezi manake ni 30% per year, kama unelima kwa msim mmoja yana 1 year utahitajika kurudisha 390,000 mwisho wa mwaka.
Huo mkopo sio hela kidogo kama ambavo baadhi ya wachangiaji mbavosema, inategemea unataka kuzalisha nini na wapi?
Kwa mfano nipo Karatu,
>Kukodisha Shamba ekari moja 40,000
>Kulima kwa trecta ekari moja 40,000
>Kupanda kwa ng'ombe ekari 1 30,000
>Mbegu za mbaazi ekar moja 14,000
>Kupalilia ekari moja ekar moja 30,000
>Dawa ya wadudu ekari 1 25,000
>Kuvuna ekari moja (VIJANA) 45,000
>Storage 1room 3 months 45,000
TOTAL 269,0000.
Mavuno,
minimum of 6 bags of 100 kgs @ sales at min farm price of 150,000 (nomal market price in arusha ni sh 250,000)
TOTAL REVENUE TZS 900,000
Gross income 631,000
Mvua kama itanyesha kama kawaida mahesabu ndio hayo iyo laki 390, ukitoa unabaki na 241,000 kama una kari kumi then you have a good 2.4mil money. MPO!!!!
Thubutuni VIJANA