Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Hiyo harufu ya kinyesi ndiyo wanayokutana nao wale wanaonyonya sehemu za siri za wanawake pamoja na sehemu zakutolea haja kubwa ili eti kunogesha upendo.

Hata wala tigo wanakutana na hiyo harufu.Pole sana kwa wanaovumilia yote hayo kwakufanya niliyoyagusia in the name of love.
 
Wana roho ngumu sana
 
Mkoani upo kikazi lakin wewe utakua wa dar tu[emoji23] [emoji23]
 
Sana,nadhani wakikaa wakitafakari nakuweka mihemko pembeni,yawezekana wakaacha,kwasababu haiwezekani mwanamke aachanishe mapaja halafu mwanaume apeleke mdomo sehemu yakufanyia tendo la ndoa,mwanaume husika asisikie harufu ya kinyesi,labda kama pua zake zina matatizo,anayenyonya sehemu yakutolea haja kubwa ndiyo kabisa,anasikia harufu ya mavi kama yoote.Wanadhani ni bonge la ujanja.
Wana roho ngumu sana
 
Hiiz technologies za kulambana uzazi sijui imetoka wapii
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.

Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tu
Tumia stara bac lugha mbovu za nini au unasahau kua mama yko pia n mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…