Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Natafakar ujumbe wa mtoa madaIla naona kuna kitu unafikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafakar ujumbe wa mtoa madaIla naona kuna kitu unafikiri
Sawa boss wanguNatafakar ujumbe wa mtoa mada
Hii maana yke nn vile msomi wangu wa phd[emoji3][emoji3]Disgusting,.
Kwamba unakula vima mkuuAisee shemeji yako anapika hapa,harafu na yeye ana makucha hayo kama Dragon,what are you trying to say?
[emoji56][emoji56]unanivuruga ujuee...[emoji23]Hii maana yke nn vile msomi wangu wa phd[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji56][emoji56]unanivuruga ujuee...[emoji23]
Sasa nimejisifia wapi NumbisaMimi sijasimanga wanawake. Sijui ulitaka nipresent vipi hili suala
Mwanaume wa mkoan kufanya scrub huo ni umama tena umama haswaaaa!
Numbisa kumbe una primitive mind sana. Yani huduma ya sh. Elfu 3 ndo kuwa na hela?, au kwenu huko scrub ni milioni???? Sikujua kama ndo hiki una maanisha. Kumbe scrub ya elfu 3 ni anasa. Ila nyie kuapaka rangi kila week, kuritouch nywele, kuoshwa miguu hayo hamyaoni???Whatever ila kaa ukijua nyuzi zako zote kujisifia una hela na kusimanga wanawake ,huna mpya,hii sio fb
Mwanaume wa mkoani na scrub wapi na wapi eti kisa kesho j3 kazini aiseeee
Ahaahhaah daaahMwanaume mzima kuogopa harufu ya kimba kwenye makucha ni umama mwanaume unakamata vidole vyake unavinyonya mpka harufu iishe kwenye makucha ili akipitisha mkono tena usisikie chochote samahan bro this s according to uzi wa umama
Ahahahahaha daaahKausha mzee, ushakula nnya ya bure.
....
....Haitaji shule hiyo kitu hata mimi nimeeksipiriensi
Upendo? Huu muda mwingine unaambatana na UNAFIKI sana.
Mtu anaweza kujifanya tu anakupenda machoni lakini moyoni anajua yeye jinsi anavyokuongopea.
Ila Chuki,Chuki ni REAL.
Yaani Mtu akikuchukia kakuchukia kweli.
I will check [emoji818] u DM tuyajengeUkianzishwa uzi kuhusu salun na scrub utaona wanaume wengi wakidhihaki huduma hio na kusema huwa hawapend huo ujinga ila hapa wa kwanza kutoa experience zao
Boss mimi ni Msabato. Si unajua yale mapanki yetuHapo kwenye panki nimejua wew ni mlokole bwana yesu apewe sifa