Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.

Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ni ke bhana, but kiukweli kama anamakucha marefu lazima anuke mavi tu, hamna ..wanawake wa nyakati hizi mnafanya mambo kwa kufuata mkumbo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]edit basi uzi kule juu weka bei ya scrub uliyoitaja hapa

Umama ni kutaka kushindana na wanawake. Anyway maandalizi mema ya J3,natumaini hujaishia kukarabati kichwa kikubwa na kidogo kikumbuke bana.
Numbisa kumbe una primitive mind sana. Yani huduma ya sh. Elfu 3 ndo kuwa na hela?, au kwenu huko scrub ni milioni???? Sikujua kama ndo hiki una maanisha. Kumbe scrub ya elfu 3 ni anasa. Ila nyie kuapaka rangi kila week, kuritouch nywele, kuoshwa miguu hayo hamyaoni???

Numeo ana kazi kweli kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]edit basi uzi kule juu weka bei ya scrub uliyoitaja hapa

Umama ni kutaka kushindana na wanawake. Anyway maandalizi mema ya J3,natumaini hujaishia kukarabati kichwa kikubwa na kidogo kikumbuke bana.
Aiseee wewe ungekuwa wife, ungekuwa unakula makofi daily[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi tunalalamika sana. Kila ukiperuzi majukwaa ni wanaume tu wanalalamika.

Khaa mpaka imekuwa kero sasa. Wanaume tukomae jamani tupambane na hali halisi mbona tunalia lia kila uchwao?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha nomaa sana kwa siku hukosi nyuzi kama 3 hviii wanaume wanawalalamikia wanawake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee wewe ungekuwa wife, ungekuwa unakula makofi daily[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ndooo nakuambia ivooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa Gubu iloo mtoto wa kike
 
Wanawake wa mikoani hawafugi mikucha asee na huku atujazoea miscrub arifu . Na saluni zetu mwisho buku tu bei yake. We ni mwanaume wa dar mzee baba ila unajficha tumekustukia
 
Umeongea ukweli... Hii Tabia ya kufuga kucha kama shetani ni Uchafu sana. Wadada tujirekebishe
 
Bas samahani, kama wewe ni me try to evaluate your sms before you have posted.. Kwasababu kupitia Sms kama upo intelligent unaweze kugundua jinsia Ya mtu n. K
Wewe unae interprete pia unatakiwa ujaribu ku evaluate unachosoma katika angles tofauti tofauti.

May be hukuupata ujumbe niliokusudia kuutoa so sikulaumu. Ninachotaka kukazia ni kuwa sisi wanaume siku hizi tumekuwa walalamishi sana kuliko siku za nyuma.

Zile tabia za kulia lia za dada zetu na mama zetu za miaka ya nyuma za kutaka haki sawa mara 50/50 siku hizi kama vile tume zi adopt sisi.

Kwanini tusipambane na hali zetu kiume jamani.
 
Back
Top Bottom