Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
- Thread starter
- #121
Mbona unanikimbia akati nataka tuyajenge
Utajiongelesha mwenyewe huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajiongelesha mwenyewe huko
Usiombe unuse iyo kitu bila kujiandaa. Unaweza pata AthmaPole mkuu
Mbona unanikimbia akati nataka tuyajenge
Mwanaume wa ukweli hafanyi scrub,ananawa tu uso na jamaa,
Huo ni umama
Yule hana nafasi tena. Need something newKayajenge kwa yule manzi wa dar.
Anatudharirisha huyu.Mkoani hatufanyi hayo mambo ya ku-scrub mkuu.
By
Mwenyekiti kivuli wa watu wa Mkoani
Anatudharirisha huyu.
Nasomeka makao makuu ya nchi bosi, hamjambo wote hapo kwa Bashite!?Upo mkoa gani bosii
Nasomeka makao makuu ya nchi bosi, hamjambo wote hapo kwa Bashite!?
Kuna majitu hata iwe maada ya kujifunza kitu utaona yanajibu upuuzi[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Inasikitisha hadi mtu unaamua kufungua uzi hebu cheki kijana alilishwa kimba tayariHalafu kila mada mwanamke kafanya hiki mara kafanya vile yaan[emoji15] [emoji15] ....halafu vyote vibaya sasa!
Mi nyuzi zinazohusu wanawake sijui wamefanya nini siingii, full kuboa!
Sasa ikawaje ukapeleka tabia za Dar huko magharibi,!?Bost nipo Kanda ya magharibi nauza Tumbaku
Pole kwa changamotoInasikitisha hadi mtu unaamua kufungua uzi hebu cheki kijana alilishwa kimba tayari
Me pia ningeleta uzi mana enzi flan hv kitambo kidogo nilikutana na adventure moja ya kupata quickie na mrembo kweli style ya mbwa nikarudi zangu mjengon nikaka nikahisi hii seem si salama kilichofata ni uchunguzi ee bana kumbe t shirt yangu ndio ilikua inatoa ule ujumbe na ilimgusa yule mrembo
Wanawake nyie warembo kuangalia tu aisee sometimes hamfati protocol kwakwel
Sasa ikawaje ukapeleka tabia za Dar huko magharibi,!?
Atakuwa alikula asali ya nyuki wadogoAisee umeleta Uzi was mwaka. Kuna siku nilikua nafnyiwa hayo hayo ma scrab kule Urambo Tabora, Demu mkali alijamba was kimya kimya mpaka huwa nahisi harufu inanifuata.
Mkuuu hwa nakuwa Vaction Dar mara nyingi
Wasalimie watunga sheria hapo mjengoniSawa mkuu, jaribu kuwaachia mambo yao unapokua unaondoka mji wao.
Asante kaka, na uwe na jioni njema.Sawa boss. Wasalimie watunga sheria hapo mjengoni